Msaada please

Enny

JF-Expert Member
May 26, 2009
962
130
Jamani naomba ushauri wenu. Kutokana na mvua za jana ukuta wa nyumba yangu umeangukia kupande wa jirani na kuharibu tenki la maji. sasa nasikia ameenda kushitaki serikali za mitaa.
Je kesi kama hii inakuwaje?
 
Hakukuwa na sababu ya kesi kama wewe ungeonesha ushirikiano. Kibinadamu ulitakiwa asubuhi uende kwa huyo jirani kwanza umpe pole na halafu mzungumzie huo uharibifu uliofanyika. Hatahivyo utaitwa hapo serikalini na kuambiwa ulipe tu, jiandae.
 
Hii ipeleke jukwaa la sheria kule utapata ushauuri kutoka kwa wataalam wa sheria waliobobea. :lol:
 
Back
Top Bottom