The-unknown JF-Expert Member Joined Feb 26, 2014 Posts 1,646 Reaction score 1,881 Nov 9, 2017 #1 Kuna wakati sim yangu inazima na hutoa maandishi ya red na green then hadi utoe battery na uiwashe tena ndo iwake irudi kawaida Mwenye anaejua tatizo ni nini naomba msaada wake Inaonekana kama hivyo
Kuna wakati sim yangu inazima na hutoa maandishi ya red na green then hadi utoe battery na uiwashe tena ndo iwake irudi kawaida Mwenye anaejua tatizo ni nini naomba msaada wake Inaonekana kama hivyo