Msaada Please: Nipo nje ya nchi

Msaada Please: Nipo nje ya nchi

Kweli mkuu jana nilipita mahali nikaona kitenesi nikakumbuka miaka mingi sana nikasema kweli mambo yamebadilika maana hata kuoma watoto wanchezea kitenesi ni nadra sana

Tatizo wenye pesa zao na nchi yao wameuza kama siyo kubinafsisha viwanja vya michezo.
 
Haya tumeahajua upo nje ya nchi
 
Basi tugawane na mapato maana inawezekana umepata kazi ya kucheza na watoto wa kizungu. Au unafanya research ya child care!?
Kuwa muwazi mkuu tukusaidie

Huyu itakuwa mtoto wa kigogo kapata promo kwa kujuana maana hata utotoni inaokena alikuwa "born with a golden spoon" sasa michezo ya kwenye mchanga na yeye wapi na wapi
 
Umesahau kututangazia uko nchi gani,icje ikawa DRC au sudan kusini.
 
Jitahidi kumzuia kwani mionzinya hizi simu siyo nzuru sana kwa watoto especially kutumua ear phone zinaharibu masikio na mtoto anaweza hata akawa kiziwi.
Nashukuru kwa taarifa mkuu, kwa upande wa ear phone hatumii.
 
Nashukuru kwa taarifa mkuu, kwa upande wa ear phone hatumii.

Watoto ni rahisi sana kuiga.Ujue yupo kwenye umri wa kuuliza maswali na kutaka majibu ya uhakika.Siyo umri mzuri sana kumuamini.
 
wafundishe kifarasi farasi,ila wewe ndio uwapande mgongoni upige picha usambaze whatsapp angalia kuwe na picha mzungu kambeba mtu mweusi,maana ktk movie zao wanatudhalilisha sana weusi kwa kutuweka nafasi duni!
 
Wasalaam JF

Nipo nje ya nchi nataka kufundisha wazungu michezo ya kufurahisha ya kitoto tuliyocheza zamani kama unajua mojawapo niwekee hapa tafadhali iwe ambayo inawezekana kuchezwa ndani ya ukumbi mimi nimeshasahau.

Natanguliza shukran zangu za dhati kwenu.

nch gani upo?
 
Wasalaam JF

Nipo nje ya nchi nataka kufundisha wazungu michezo ya kufurahisha ya kitoto tuliyocheza zamani kama unajua mojawapo niwekee hapa tafadhali iwe ambayo inawezekana kuchezwa ndani ya ukumbi mimi nimeshasahau.

Natanguliza shukran zangu za dhati kwenu.

Unaona shida gani kusema umesahau, au hukuwahi kucheza?! Halafu sio kweli kwamba haukumbuki hata mchezo mmoja uliocheza utotoni, halafu hao wazungu wakisema Watanzania tuna very short memory tunakuwa wakali!! Nahisi hiyo itakuwa ni utafiti!!! Mimi ninakukumbushia ule wa baba na mama!!
 
Tobo bao, Tobo busu, Tobo dole, mseleleko, kidari, bong'oa, kijipikilisha, bunduki za visoda, kuwinda ndege, kusaka, kudandia Magari, kurusha mawe kwenye mapaa ya watu, kujambisha, shikamoo naomba dala, kuoga mvua, kukamata kumbikumbi, kupaisha vishada, Magari ya mbao, kulipua baruti, malani, kuiba karanga, kuchungulia chabo, na kucheza mchezo mmbaya majanini au kwenye majumba mabovu, kucheza kamari.
 
Tobo bao, Tobo busu, Tobo dole, mseleleko, kidari, bong'oa, kijipikilisha, bunduki za visoda, kuwinda ndege, kusaka, kudandia Magari, kurusha mawe kwenye mapaa ya watu, kujambisha, shikamoo naomba dala, kuoga mvua, kukamata kumbikumbi, kupaisha vishada, Magari ya mbao, kulipua baruti, malani, kuiba karanga, kuchungulia chabo, na kucheza mchezo mmbaya majanini au kwenye majumba mabovu, kucheza kamari.

Mkuu umenifurahisha sana hasa mchezo wa kudandia magari nakumbuka ili wahi kunitokea puani hadi Leo mkono wangu mmoja ni mbovu kutokana na huu mchezo
 
Unaona shida gani kusema umesahau, au hukuwahi kucheza?! Halafu sio kweli kwamba haukumbuki hata mchezo mmoja uliocheza utotoni, halafu hao wazungu wakisema Watanzania tuna very short memory tunakuwa wakali!! Nahisi hiyo itakuwa ni utafiti!!! Mimi ninakukumbushia ule wa baba na mama!!
Basi sawa tuma salamu
 
Nina ndoo yangu ya kuteka maji,........watoto msiangalie nyuma yai bovu linapita.
 
Back
Top Bottom