Habari zenu wandugu. Shida yangu kuwa. Ikiwa seller kwenye ebay ame refunded money to ur paypal. Inakuaje hapo ukitaka hela yako irudi kwenye a/c yako ya nbc? Au kwenye a/c ya paypal?
Habari zenu wandugu. Shida yangu kuwa. Ikiwa seller kwenye ebay ame refunded money to ur paypal. Inakuaje hapo ukitaka hela yako irudi kwenye a/c yako ya nbc? Au kwenye a/c ya paypal?
Mkuu hiyo hesabu hasara, bank zetu nyingi local huwa hawana uwezo wa kupokea malipo kupitia paypal. Ilishawah nitokea kipindi nimeanza kutumia paypal, nililipia karibia laki na 60 afu nikawa refunded. Hiyo pesa sijawah kuiona milele amina. Paypal ukiwasiliana nao wanakwambia sisi pesa tulishai-refund muda tu ko wasiliana na bank yako. Bank ukienda mambo ya paypal hata meneja mwenyewe hajui ni vitu gani asa unadhan utasaidiwa hapo?
Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
Yaani menenja wa Bank hajuwi Paypal ni kitu gani!!! kweli Tanzania safari bado ni ndefu.
wana jamvi naomba mnielekeze jinsi ya kujiunga na pay pal, na mm nataka kununua bidhaa mtandaon
Mkuu hiyo hesabu hasara, bank zetu nyingi local huwa hawana uwezo wa kupokea malipo kupitia paypal. Ilishawah nitokea kipindi nimeanza kutumia paypal, nililipia karibia laki na 60 afu nikawa refunded. Hiyo pesa sijawah kuiona milele amina. Paypal ukiwasiliana nao wanakwambia sisi pesa tulishai-refund muda tu ko wasiliana na bank yako. Bank ukienda mambo ya paypal hata meneja mwenyewe hajui ni vitu gani asa unadhan utasaidiwa hapo?
Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums