Msaada: Parking lot karibu na Ferry (Dar)

Msaada: Parking lot karibu na Ferry (Dar)

KnucleBreaker

Member
Joined
Jan 10, 2022
Posts
23
Reaction score
29
Habari wakuu,
Naomba kufahamishwa eneo salama na secure la maegesho ya magari karibu na ferry.

Nahitaji kusafiri kwenda Zanzibar, niache gari kwa siku 3, nitachukua wakati wa kurudi ili kuepukana na adha ya usafiri.

Asanteni.
 
Habari wakuu,
Naomba kufahamishwa eneo salama na secure la maegesho ya magari karibu na ferry.

Nahitaji kusafiri kwenda Zanzibar, niache gari kwa siku 3, nitachukua wakati wa kurudi ili kuepukana na adha ya usafiri.

Asanteni.
I recommend;
1. St. Joseph Cathedral church hapo Sokoine Drive, u pay TZS 2,000 per day
2. Salamander tower GSM parking Samora Avenue, u pay TZS 3,000 per day.
No. 1 ni most recommended ingawa kwa leo inabidi uwe mpole kwa sbb ni siku ya misa so parking ni scarce!
 
Sijakuelewa ni nini kinakusumbua, si uache gari yako nyumbani upande mwendokasi ya Chalamila hadi huko ferry, au unakademu maaneo hayo unakafukuzia kanakutia kiwewe, sasa ufike na gari umlingishie uliache hapo awe analitazama wewe uende huko Z, ukifika huko upande Chai maharage unakuwa umefanya kazi gani sasa!...
 
Habari wakuu,
Naomba kufahamishwa eneo salama na secure la maegesho ya magari karibu na ferry.

Nahitaji kusafiri kwenda Zanzibar, niache gari kwa siku 3, nitachukua wakati wa kurudi ili kuepukana na adha ya usafiri.

Asanteni.
Sabodo, hapo India St karibu na Burhani Hosp, sehemu ya uhakika sana, full ulinzi
 
Back
Top Bottom