KnucleBreaker
Member
- Jan 10, 2022
- 23
- 29
Habari wakuu,
Naomba kufahamishwa eneo salama na secure la maegesho ya magari karibu na ferry.
Nahitaji kusafiri kwenda Zanzibar, niache gari kwa siku 3, nitachukua wakati wa kurudi ili kuepukana na adha ya usafiri.
Asanteni.
Naomba kufahamishwa eneo salama na secure la maegesho ya magari karibu na ferry.
Nahitaji kusafiri kwenda Zanzibar, niache gari kwa siku 3, nitachukua wakati wa kurudi ili kuepukana na adha ya usafiri.
Asanteni.