HABARI WADAU, Kichwa kinajieleza, nimejaribu kutafiti nikabaini Google inc ambao ndio wamiliki wa Android wameblock whatsapp na Youtube kwenye Android 7 kushuka chini, japokuwa whatsapp wenyewe hawana tatizo na device zenye matoleo hayo. sasa kama kuna maujanja ya kufanya naomba kuelekezwa. maana niliagiza hii simu ili inisaidie angalau kwa miezi kadhaa wakati nafanya mpango wa kununua simu nyingine. Kwani simu yangu Sumsang S9+ Iligoma touch ghafla.
maujanja ninayoyaulizia hapa ni kama vile kuroot na kuupgrade version kama inawezekana kwa simu hii... Natanguliza shukrani...
maujanja ninayoyaulizia hapa ni kama vile kuroot na kuupgrade version kama inawezekana kwa simu hii... Natanguliza shukrani...