Msaada Online application SUA- SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE

Msaada Online application SUA- SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE

Haddy01

Member
Joined
Mar 12, 2015
Posts
7
Reaction score
1
Habarini wadau, najaribu kumsaidia mdogo wangu kufanya online application kwa chuo cha Kilimo cha Sokoine, naomba msaada kwa wadau walioweza kufanya application kwa chuo cha Kilimo cha Sokoine.

Najaribu kuingia kwa user name kama walivyoelekeza namba ya mtihani wa Form Four na password waliyotuma kwa simu lakini haikubali na inaleta ujumbe “invalid username” na nimejaribu kupiga namba zao za msaada zilizopo kwa tovuti yao ya chuo bila mafanikio.

Asante kwa msaada najua hapa jamvini naweza pata msaada.
 
Habarini wadau, najaribu kumsaidia mdogo wangu kufanya online application kwa chuo cha Kilimo cha Sokoine, naomba msaada kwa wadau walioweza kufanya application kwa chuo cha Kilimo cha Sokoine.

Najaribu kuingia kwa user name kama walivyoelekeza namba ya mtihani wa Form Four na password waliyotuma kwa simu lakini haikubali na inaleta ujumbe “invalid username” na nimejaribu kupiga namba zao za msaada zilizopo kwa tovuti yao ya chuo bila mafanikio.

Asante kwa msaada najua hapa jamvini naweza pata msaada.
Wamekutumia number ya malipo??
 
Utakapojaribu kulogin utaona notificarion ya namba ya malipo ukishalipia ndio utaweza kuendelea na usajili wako mkuu. Usipolipia auwezi endelea mbele.
 
Write your reply...Tatizo ni hiyo namba ya malipo inachelewa Sana.
Hii system ya SUA ndo ya ovyo kuliko zote. Mimi nimewafanyia application watu wengi vyuo mbalimbali bila shida. Tatizo ni SUA tu halafu Hata online support kama UDOM au vyuo vingine ukipta tatizo unapiga simu wanakusaidia
 
Msaada kulogin kwenye system ya application chuo cha SUA
 
S1936/1272/2017/2020
Unatumia namba ya form4 kama hapo juu kisha mwaka wa kumaliza 4 na 6

Password unakumbuka?

Link ya ku login
 
S1936/1272/2017/2020
Unatumia namba ya form4 kama hapo juu kisha mwaka wa kumaliza 4 na 6

Password unakumbuka?

Link ya ku login
S1936/1272/2017/2020
Unatumia namba ya form4 kama hapo juu kisha mwaka wa kumaliza 4 na 6

Password unakumbuka?

Link ya ku login
S1936/1272/2017/2020
Unatumia namba ya form4 kama hapo juu kisha mwaka wa kumaliza 4 na 6

Password unakumbuka?

Link ya ku login
S1936/1272/2017/2020
Unatumia namba ya form4 kama hapo juu kisha mwaka wa kumaliza 4 na 6

Password unakumbuka?

Link ya ku login
Kuna MTU aliyefanikiwa kulogin SUA na yupo selected..?
 
Matokeo bado hayajatoka
Mbona tunalogin fresh tuu!
Mwenyewe naletewa ujumbe huohuo was siku zote.. Ila walisema ni Leo... Ila mpaka usiku huu hamna mpya.. Wanatuangusha hawa vipngozi wetu..
 
Msaada wenu ndugu zangu wa dharura

Nina mdogo wangu amechaguliwa mipango tu kwenye 1st round aka confirme, ilipotangazwa 2nd round akaomba tena akapata aridhi university, ila aridhi wamekataa kumtumia code kwaajili ya ku confirme kwa kuwa wanasema ameshapata chuo kingine,

otherwise aombe mipango wamuondoe kwenye selection, moyo wake wote upo aridhi na iyo course aliochaguliwa chuo cha aridhi ndio ilikuwa ndoto yake kusoma, na kesho ndio mwisho wa ku confirme chuo naombeni msaada wenu kwenye ili afanyaje ili aweze kupata chuo cha aridhi.

Msaada wenu ndugu zangu wa haraka.
 
Msaada wenu ndugu zangu wa dharura

Nina mdogo wangu amechaguliwa mipango tu kwenye 1st round aka confirme, ilipotangazwa 2nd round akaomba tena akapata aridhi university, ila aridhi wamekataa kumtumia code kwaajili ya ku confirme kwa kuwa wanasema ameshapata chuo kingine,

otherwise aombe mipango wamuondoe kwenye selection, moyo wake wote upo aridhi na iyo course aliochaguliwa chuo cha aridhi ndio ilikuwa ndoto yake kusoma, na kesho ndio mwisho wa ku confirme chuo naombeni msaada wenu kwenye ili afanyaje ili aweze kupata chuo cha aridhi.

Msaada wenu ndugu zangu wa haraka.
Mr, tulia sehemu moja utasaidiwa tu.. So kila jukwaa unachapisha wewe tu.. Tembea na Uzi wako uleule watu watakusaidia tu
 
Back
Top Bottom