Ndesalee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 1,092
- 522
Wasalaam waungwana. Naombeni kujuzwa namna ya kuandaa "Office Hand Over Document/Barua ya kukabidhi Ofisi" Mimi ni mtumishi wa Umma nimepata uhamisho sasa nataka kuandaa hiyo document sina uelewa mpana wa vitu vya kuweka katika hiyo document.
Karibuni..
Karibuni..