Msaada notes VS Reference Books

Allydasmartboy001

JF-Expert Member
Jul 14, 2018
599
206
Habari za muda huu na hisi kuna sehemu na kwama kwenye kusoma kwangu hivi ni kipi natakiwa nianze kusoma kati ya notes za mwalimu au hivi vitabu reference books shida yangu kubwa niwe na utambuzi wa mambo mengi kuna bro wangu aliniamia kuanza kusoma notes za mwalimu ni uzembe anasema nisome reference books.

Tatizo linakuja natumia nguvu nyingi sana. Naomba kuuliza hivi ipi njia nzuri ya kujifunza?? Kuanza kusoma notes za mwalimu au reference books?? Au mna nishauri nn mdogo wenu?? Samahani kama kuna tatizo kwenye lugha nilizotumia
 
Mimi nlikua nasoma kwanza vitabu vya reference bila hata kufungua notes za mwalimu na ni vitabu zaidi ya 2 ndio naenda kusoma notes za mwalimu na nlikua nkiziona tuu kama kuna maswali mle nakumbuka kuna siku hata sikuyafanya maana nliyaona mepesi mno kutokana na reference nlizotumia zilikua na maswali magumu balaa nkaelewa kupitiliza

Kutumia reference kwanza imenisaidia kua mbunifu nnaweza jifunza kitu bila kupewa mwongozo wowote ule.

Nakushauri anza na reference hata kama unatumia nguvu ila ukizoea unakua huhitaji sana notes ili uelewe kitu
 
I choose books because you can vary the information in your diaries. The book is static information that does not need to be supplemented. The author has created a static image or a finished story.
 
Back
Top Bottom