Isombilege
Member
- Jul 22, 2018
- 92
- 54
Wanawake wa Dsm siku hizi mmezidi kuomba hela.Ukiona sms imeandikwa "halloo baby kuna jambo nataka nikushirikishe" tayar ujue huo ni "mzinga"
Nyie wenzangu mnawakwepaje hawa jamaa zetu? Msaada pls
Nyie wenzangu mnawakwepaje hawa jamaa zetu? Msaada pls