Wadau habari zenu!
Wakuu naombeni msaada wa mawazo, nimefanya maombi ya udahili nje ya nchi(Netherlands) shahada ya Uzamili (Masters ).
Nimetuma viambatanisho vyote muhimu, naambiwa bado kiambatanisho cha TEOFL, yaani ushahidi wa kuwa ninafahamu kiingereza, sasa nimejitahidi kuwaeleza kuwa nimesoma kwa kutumia kiingereza katika elimu yangu.
Msaada wenu wakubwa, sababu nimeangalia ratiba ya TOEFL test kwa huku Arusha ni tarehe 11/02/2017.
Wakuu naombeni msaada wa mawazo, nimefanya maombi ya udahili nje ya nchi(Netherlands) shahada ya Uzamili (Masters ).
Nimetuma viambatanisho vyote muhimu, naambiwa bado kiambatanisho cha TEOFL, yaani ushahidi wa kuwa ninafahamu kiingereza, sasa nimejitahidi kuwaeleza kuwa nimesoma kwa kutumia kiingereza katika elimu yangu.
Msaada wenu wakubwa, sababu nimeangalia ratiba ya TOEFL test kwa huku Arusha ni tarehe 11/02/2017.