Msaada nipo ugenini mwenyeji ananitisha

Msaada nipo ugenini mwenyeji ananitisha

Au umejazia kiaina na uko soft!! Angalia asije akakupaka mafuta.
 
Mrejesho niliammua kujifanya nimesinzia akainuka ila ananigusa tu nimempiga ngumi ya uso alafu zijafuata ngumi nyingi sana mpaka kupelekea watu kuamka maana jamaa alinza Piga kelele watu kuja kuhoji nikamwambia wamhoji yeye iweje asimame kutoka kitandani cha pili kuja hichi usiku tumelala

Akakosa jibu mujibu niliyoyapata jamaa kumbe ni shoga walikuwaga wanasikia chini chini tu kutoka yupo bodingi ila hawakuamini kwa kitendo cha usiku kuamkia leo ndugu zake baazi wameamini ndugu yao atakuwa kweli shoga. Maana hizi Tarifa za kuja wageni wakapewa chumba walale naye akiwemo umo ndani na kuanza huu ujinga waliusikiaga sema hakuna aliyesema zaidi wakiyongea chini chini tu so nimemdunda

Leo nikitoka kanisani tukila sikuku naenda tafuta Lodge shawambia wasinifikilie vibaya kwenda Lodge wakati nyumba ipo nafasi ipo nimemwambia naweza Pata kesi miye maana taweza mpiga vibaya huyu mtu akiendeleza ujinga wake


Wito wangu kwa wazazi ambayo mna watoto wadogo wa kiume wanalala na wa jombaa sijui Kaka chumba kimoja acheni watenganisheni watoto walale watoto mkubwa awe mkubwa msiwachanganye
 
Mkuu labda ukilala una koroma sana. Sasa hiyo ina mkera atakuwa Ana kushtua ili ku restart situation. But hata hivyo its awkward wanaume wawili kulala kitanda kimoja
 
Mkuu labda ukilala una koroma sana. Sasa hiyo ina mkera atakuwa Ana kushtua ili ku restart situation. But hata hivyo its awkward wanaume wawili kulala kitanda kimoja

Kiongozi tupo ugenini si wengine wapitaji tu hapa
 
Ukitaka kulala jifanye unanoa panga hapo chini alafu liweke mchagoni. Utalala vizur sana.
 
Kiongozi tupo ugenini si wengine wapitaji tu hapa

Basi pole sana mkuu vumilia kwa kuwa ni mpitaji. Ila muulize vizuri huku ukimwangalia usoni kwa macho makali kabisa kuwa kwa nini huwa anafanya hivyo, ana maana gani
 
Yalishanikuta unalala na limtu linaanza kukusumbua.. yaani huyo jamaa atakusumbua sana..wewe jiondokee
 
Kiongozi tupo ugenini si wengine wapitaji tu hapa

Kaka inaelekea unapita sana we we!!miaka minne iliyopita ulikutana nae tena!!hebu jipange kaka acha maisha tegemezi!!
 
Mrejesho niliammua kujifanya nimesinzia akainuka ila ananigusa tu nimempiga ngumi ya uso alafu zijafuata ngumi nyingi sana mpaka kupelekea watu kuamka maana jamaa alinza Piga kelele watu kuja kuhoji nikamwambia wamhoji yeye iweje asimame kutoka kitandani cha pili kuja hichi usiku tumelala

Akakosa jibu mujibu niliyoyapata jamaa kumbe ni shoga walikuwaga wanasikia chini chini tu kutoka yupo bodingi ila hawakuamini kwa kitendo cha usiku kuamkia leo ndugu zake baazi wameamini ndugu yao atakuwa kweli shoga. Maana hizi Tarifa za kuja wageni wakapewa chumba walale naye akiwemo umo ndani na kuanza huu ujinga waliusikiaga sema hakuna aliyesema zaidi wakiyongea chini chini tu so nimemdunda

Leo nikitoka kanisani tukila sikuku naenda tafuta Lodge shawambia wasinifikilie vibaya kwenda Lodge wakati nyumba ipo nafasi ipo nimemwambia naweza Pata kesi miye maana taweza mpiga vibaya huyu mtu akiendeleza ujinga wake


Wito wangu kwa wazazi ambayo mna watoto wadogo wa kiume wanalala na wa jombaa sijui Kaka chumba kimoja acheni watenganisheni watoto walale watoto mkubwa awe mkubwa msiwachanganye

Kwani nyumbani kwenu hakuna sikukuu? Wewe vipi wewe? Ndo mkome kwenda kwa watu!
 
Asante sana kwa mrejesho. Umefanya vizuri kumtandika huyo shonga anayeficha uovu wake kwenye ulokole. Mwambie asicheze tena na hiyo namba.
 
fanya yafuatayo.
akikugusa tu amka na angalia kama kasimamisha ujue anataka kukuingilia na kama hajasimamisha fanya kumshika na kuminya makalio yake kama ataamka au lah. asipoamka ujue jamaa anataka umupe mimba.
 
Kaka inaelekea unapita sana we we!!miaka minne iliyopita ulikutana nae tena!!hebu jipange kaka acha maisha tegemezi!!

Kiongozi wewe siyo mbantu nini waswahili tuna tembeleana miye nimekuja wajulia hali na ndio maana nakwambia miaka minne iliyopita ina maana huja hapa Mala moja moja sana si kuwa sina makazi rahasha na kwangu sema msimu huu wa sikuu imebidi nitembelee ndugu na jamaa
 
We mchekee chekee tu akudumbukize boro young pa kunyea,shauri yako
 
Namini penye wengi hapalibiki jambo
Kama mnavyojua tupo katika msimu wa sikuku hivyo nimeamua tembelea ndugu na jamaa

Tatizo ni hivi hapa ugenini tumekuja watu kama wa tatu hivi kama mnavyojua nyumba za mjini vyumba vichache hivyo tu. Chumba ninacholala yupo kijana mwenyeji yeye anaishi hapa hapa tatizo ni kuwa nikianza sinzia na sikia ananistua kwa kunigusa nikistuka anatulia anajifanya kalala hivyo hivyo kama Mala kumi

Inabidi nijikolomeshe nione vip je naota au nashangaa anainuka anakuja ananitikisa nastuka anajifanya kalala


Ajabu uyu kijana anajifanya. Mlokole na anasali kweli

Miaka kama minne iliyopita tulikutanaga sehemu tukapewa hifazi tukalala akawa Anafanya hivi hivi

Leo tena anafanya jamani ebu nijuzeni nini hii maana napanga nizuge nimelala ile anakuja tu nimpige bonge la ngumi nachogopa nipo ugenini naogopa aibu

Unawezaje kulala kitanda kimoja na mwanaume mwenzako!? Atakusukumia nyama Stuka.
 
Anakugusa wapi?na anakugusa na nini? Na Akikugusa unajisikiaje kwani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom