Msaada,Nipo nyuma saa moja humu jamii forum

Msaada,Nipo nyuma saa moja humu jamii forum

Mpalakugenda

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2015
Posts
4,649
Reaction score
5,074
Wakuu hili jambo limekuwa linanishangaza sana,muda ninaopost humu unakuwa sio sahihi na ule unaonekana ktk vifaa vingine vinavyoonyesha muda. Hii imekuwa inanipa taabu sana mpaka kuhisi pengine jamii forum sio ya tanzania nini. mfano sasa ni 7:52 lakin sio muda wa hii post naouona hapa jf.
 
Muda wa simu nayotumia upo sawa na simu nyingine pamoja na saa ya mkononi ambazo nazo zinalingana hata n za watu wengine.
 
Hata mimi post ninazotuma zinaandika time tofauti na time halisi ya wakati wa ku post msg!!
 
Yangu iko sawa sawa, natumia east European time
 
Wakuu hili jambo limekuwa linanishangaza sana,muda ninaopost humu unakuwa sio sahihi na ule unaonekana ktk vifaa vingine vinavyoonyesha muda. Hii imekuwa inanipa taabu sana mpaka kuhisi pengine jamii forum sio ya tanzania nini. mfano sasa ni 7:52 lakin sio muda wa hii post naouona hapa jf.

pole sana kwa kuwa upo nyuma
solution. Angalia menu bar utaona neno settings select kisha nenda kwenye general settings! Scrow down utaona kuna dropdown menyu utaweza kubadili. Chagua GMT isiyo na +/- kisha refresh... Ukikwama niambie
 
Back
Top Bottom