Msaada: Nipo njia panda mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu niliyefoji cheti cha kidato cha nne

youngkato

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
3,254
2,910
Mpaka saivi sijui nichukue uamuzi gani, nipo chuo kimoja kikuu hapa Tanzania.

Nasoma ingawa najua cheti cha form four nilitumia jina la mtu mwingine na mimi nilibadilisha jina langu.

NB: NILITUMIA JINA LA MTU KUTOKANA NA HALI YA MAISHA KURUHUSU.

Je niache chuo nikafanye mambo mengine au niendelee kusoma ingawa najua NECTA wakihakiki vyeti vyangu lazima nitakamatwa.
 
Bado sijakuelewa vizuri, unamaanisha form four ulitumia cheti cha mtu? Na vipi form six jina hilo linafanana na hilo la kwenye cheti cha form four?
Na je vyeti vyako vyote vinafanana majina na tarehe ya kuzaliwa? Vyeti hivi vinafanana?
Cheti cha kuzaliwa
Cheti cha form four
Cheti cha form six

Kama kuna sehemu vinapishana taarifa basi jiandae.

Na kama vinapishana kwa mfumo wa udahili(Central admission System-CAS) wa TCU wangekubaini hata HESLB wangekubaini mapema.
Kama havifanani na CAS hawajakubaini then hii story yako ni story kama story zingine tu
 
Mpaka saiv sijui nichukue uamuzi gani, nipo chuo kimoja kikuu hapa tanzania.

Nasoma ingawa najua cheti cha form four nilitumia jina la mtu mwingine na mm nilibadirisha jina langu.

NB: NILITUMIA JINA LA MTU KUTOKANA NA HALI YA MAISHA KURUHUSU

Je niache chuo nikafanye mambo mengine au niendelee kusoma ingawa najua necta wakihakiki vyeti vyangu lazima nitakamatwa.
Simple!Jiunge na ccm tu halafu uwe mnonko kwa watu wanaoisema serikali especially rais.Pia ujipendekeze sana kwenye media huku ukimsema vibaya Lowasa na kumsifia Lipumba.Tafuta mashati ya kijani yawe ndio nguo zako za ku shine hata kwenye disco,misibani,kanisani au msikitini.
Kama muda wako unakutosha jipendekeze kwa Bashite pia.Hakuna lisilowezekana,ukimjua mtu hupati shida naye.
 
Simple!Jiunge na ccm tu halafu uwe mnonko kwa watu wanaoisema serikali especially rais.Pia ujipendekeze sana kwenye media huku ukimsema vibaya Lowasa na kumsifia Lipumba.Tafuta mashati ya kijani yawe ndio nguo zako za ku shine hata kwenye disco,misibani,kanisani au msikitini.
Kama muda wako unakutosha jipendekeze kwa Bashite pia.Hakuna lisilowezekana,ukimjua mtu hupati shida naye.
 
Simple!Jiunge na ccm tu halafu uwe mnonko kwa watu wanaoisema serikali especially rais.Pia ujipendekeze sana kwenye media huku ukimsema vibaya Lowasa na kumsifia Lipumba.Tafuta mashati ya kijani yawe ndio nguo zako za ku shine hata kwenye disco,misibani,kanisani au msikitini.
Kama muda wako unakutosha jipendekeze kwa Bashite pia.Hakuna lisilowezekana,ukimjua mtu hupati shida naye.
 
Duh kwa haya majibu anaweza kufikiria anajipeleka selo mwenyewe kwa hatua ya yeye kwenda NACTE, kumbe huu ni ushauri tu huyu naona hajapitia form 6 isipokuwa kaunganisha certificate, diploma na sasa university naona hofu imemtanda hasa kwa mdau mmoja hapo aliyesema anawataka na wengine waje wakiri makosa yao
 
Back
Top Bottom