fite fite
Senior Member
- Feb 27, 2017
- 113
- 94
- Thread starter
- #21
Aisee kumbe saikology yaweza kuwa ugonjwa hatari sana.
Asante ndugu kwa ushauri hata mimi nimejifunza kitu hapo.
Asante ndugu kwa ushauri hata mimi nimejifunza kitu hapo.
fite fite
mengi ya matatizo uliyo nayo ni ya ki-kisaikolojia na yanatukumba waTZ wengi, binafsi nimekuwa na matatizo kama ya kwako kwa miaka kadhaa na kwa sasa ( kwa mwaka wa pili hivi) nimeamua kukabiliana nayo just kwa kuwa 'positive thinker' na kwa sasa nimeanza kuyashinda mengi ya matatizo ya hayo, nimeachana na kunywa mavidonge ya depression. acha kujidharau, acha kujishusha shusha sana, jichanganye na jamii / ndugu waliopo, mara moja moja toka out uone huko nje pakoje, kuwa 'positive thinker' na mwisho mshirikishe Mwenyezi Mungu mambo yako yataanza kwenda,