Ndugu wapendwa mimi ni kijana wa miaka 22. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nasumbuliwa sana na tatazo la uoga tena uliopitiliza.
Katika kipindi chote ambacho nimeishi hapa duniani nimeishi maisha ya taabu sana kwa sababu ya hali yangu hii. Mfano tangu npo shule ya msingi hata kama jibu nalijua nikitaka kunyoosha tu mkono ghafla ntaanza kutetemeka bila hata sababu. Natetemeka sana mapigo ya moyo huenda mbio na hujisikia aibu kali sana. Niki pointiwa na mwalimu au mtu yeyote kutoa hoja mbele za watu naweza hata kuzimia kwa mshtuko wa uoga
Pia hata kama nasafiri nikikiribia tu kufika stendi najikuta naingiwa na uoga mkubwa sana. Kwenye suala la kutongoza sasa ndio usiseme huwezi amini mpaka umri wangu huu sijawahi kuwa na mpenzi kabisa.
Nimekuwa sijiamini hata kama natembea najishtukia sana. Naogopa Ku socialize iwe
kwenye sherehe, msiba au shughuli yoyote ya kijamii. Nimekuwa nashinda ndani sitaki kabisa kuchanganyikana na jamii.
Wakuu hali hii imenepotezea confidence kabisa na imenifanya niwe na mawazo mabaya kabisa sababu huu ni ujinga mtoto wa kiume kabisa ila naishi kama demu
Kwa hiyo basi nimekuja kwenu kuwaomba msaada hasa wa kimatibabu maana naamini humu wapo wengi wenye uelewa na tatizo hili. Karibuni!!.
Katika kipindi chote ambacho nimeishi hapa duniani nimeishi maisha ya taabu sana kwa sababu ya hali yangu hii. Mfano tangu npo shule ya msingi hata kama jibu nalijua nikitaka kunyoosha tu mkono ghafla ntaanza kutetemeka bila hata sababu. Natetemeka sana mapigo ya moyo huenda mbio na hujisikia aibu kali sana. Niki pointiwa na mwalimu au mtu yeyote kutoa hoja mbele za watu naweza hata kuzimia kwa mshtuko wa uoga
Pia hata kama nasafiri nikikiribia tu kufika stendi najikuta naingiwa na uoga mkubwa sana. Kwenye suala la kutongoza sasa ndio usiseme huwezi amini mpaka umri wangu huu sijawahi kuwa na mpenzi kabisa.
Nimekuwa sijiamini hata kama natembea najishtukia sana. Naogopa Ku socialize iwe
kwenye sherehe, msiba au shughuli yoyote ya kijamii. Nimekuwa nashinda ndani sitaki kabisa kuchanganyikana na jamii.
Wakuu hali hii imenepotezea confidence kabisa na imenifanya niwe na mawazo mabaya kabisa sababu huu ni ujinga mtoto wa kiume kabisa ila naishi kama demu
Kwa hiyo basi nimekuja kwenu kuwaomba msaada hasa wa kimatibabu maana naamini humu wapo wengi wenye uelewa na tatizo hili. Karibuni!!.