- Thread starter
- #61
Kumbe na huu ni ugonjwa Asante sana kwa kunifumbua mkuuAnxiety ni ugonjwa kabisa ....nenda hospital kuna dawa watakupa .....utatumia zitakusaidiaa...shida kwenye ubongo......nacho hicho ni kichaa cha aina yake....
Kumbe na huu ni ugonjwa Asante sana kwa kunifumbua mkuuAnxiety ni ugonjwa kabisa ....nenda hospital kuna dawa watakupa .....utatumia zitakusaidiaa...shida kwenye ubongo......nacho hicho ni kichaa cha aina yake....
Ok nakusubiri mkuuNtarud kukushaur Cha kufanyaa
Kibunda hakipatikani bila confidence, bila kuyakabili mazingira (kazi, biashara) In one way or another anahitaji kulifanyia kazi suala lake kwanza. Labda kama ana watu ambao watambeba kama mzigo na kumuweka kwenye kitengo/biashara yenye hela.Ukiwa na kibunda unakuwa na confidence ya hali ya juu...... so nakushauri ufokasi kwenye kibunda sjui unanielewa nikisema KIBUNDA.
Naelewa mkuu apo nimempa ushauri in general tho kuna zile steps za kubuld self confidence kama;Kibunda hakipatikani bila confidence, bila kuyakabili mazingira (kazi, biashara) In one way or another anahitaji kulifanyia kazi suala lake kwanza. Labda kama ana watu ambao watambeba kama mzigo na kumuweka kwenye kitengo/biashara yenye hela.
Ndo ata potea mazima mkuuUkishindwa sana anza kunywa pombe na bange.
Sahihi mkuu…. Asisahau kuendelea kujaribu na kujaribu na kujaribu. Kuna mtu huko juu amesema kuforce nimemuelewa sana.Naelewa mkuu apo nimempa ushauri in general tho kuna zile steps za kubuld self confidence kama;
1.kujikubali.
2.wearing proper clothes.
3.focus on your self.
4.set new goals.
5.speak positively to your self.
Akifanya hivyo within a 2 month nadhani atakua amekaa sawaSahihi mkuu…. Asisahau kuendelea kujaribu na kujaribu na kujaribu. Kuna mtu huko juu amesema kuforce nimemuelewa sana.
Unapiga nyeto?Ndugu wapendwa mimi ni kijana wa miaka 22. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nasumbuliwa sana na tatazo la uoga tena uliopitiliza.
Katika kipindi chote ambacho nimeishi hapa duniani nimeishi maisha ya taabu sana kwa sababu ya hali yangu hii. Mfano tangu npo shule ya msingi hata kama jibu nalijua nikitaka kunyoosha tu mkono ghafla ntaanza kutetemeka bila hata sababu. Natetemeka sana mapigo ya moyo huenda mbio na hujisikia aibu kali sana. Niki pointiwa na mwalimu au mtu yeyote kutoa hoja mbele za watu naweza hata kuzimia kwa mshtuko wa uoga
Pia hata kama nasafiri nikikiribia tu kufika stendi najikuta naingiwa na uoga mkubwa sana. Kwenye suala la kutongoza sasa ndio usiseme huwezi amini mpaka umri wangu huu sijawahi kuwa na mpenzi kabisa.
Nimekuwa sijiamini hata kama natembea najishtukia sana. Naogopa Ku socialize iwe
kwenye sherehe, msiba au shughuli yoyote ya kijamii. Nimekuwa nashinda ndani sitaki kabisa kuchanganyikana na jamii.
Wakuu hali hii imenepotezea confidence kabisa na imenifanya niwe na mawazo mabaya kabisa sababu huu ni ujinga mtoto wa kiume kabisa ila naishi kama demu
Kwa hiyo basi nimekuja kwenu kuwaomba msaada hasa wa kimatibabu maana naamini humu wapo wengi wenye uelewa na tatizo hili. Karibuni!!.
Asante mkuuFace your fears,jichanganye ,jiamini,na jitahidi sana unapokuwa kwenye kundi la watu shiriki kikamilifu usipende kujifungia ndani wala kujihoji sana moyoni.
Daaah mkuu ubarikiwe umeongea point kubwa sanaChanzo kikubwa ni malezi ya utotoni hasa kukaripiwa kupita kiasi, I mean ulikua unajazwa hofu sana, kosa kidogo adhabu nyingi especially below 6years. Suluhu ya kwanza ilikua ni hicho ulichokifanya yaani kua aware na changamoto uliyonayo, suluhu ya pili ni feel the fear and do it any way, jilazimishe kufanya unachokua unaogopa. Mfano upo class unafahamu jibu force kujibu, na ukijibu confidence inaongezeka, au umempenda bint force kumface dont care about outcome. Mwanzo wa kujiforce kufanya unachoogopa itakusumbua kidogo ila kadri siku zinavyokwenda huku ukiendelea na practices utaona improvement kubwa sana. I repeat again FORCE FORCE maana najua sio rahisi kwa mwanzoni. Suluhu nyingine muhimu jaribu kuielekeza concentration kwa wakati uliopo I mean don't focus on past (majuto/kipi ulikosea) also don't focus on future (hofu ya nini kitatokea baadae). Akili na mawazo yako yote yawe ktk kinachofanyika wakati uliopo kwa usahihi na nidhamu hata kama hakuna anayekuona, sio ile unafanya right things mbele ya macho ya watu ukiwa private unafanya tofauti. Fanya kile unachoamini ni sahihi kwako pasi kujali mtu anaonaje. Ukiweza kujifunza meditation pia itakusaidia katika changamoto yako. Sio ugonjwa, sio big deal ni kujitambua tu na zaidi kujikubali (kitu ambacho utotoni ulinyimwa).