Msaada: Nina appetite iliyopitiliza

Jaman nadhan kuna watu wa desgn kama yangu mie mbiti !jaman mie nimekuwa napenda kula kula vitu viduchu duchu mnoo !yaan nahis kuna kitu si bure ! imefikia hatua sikosi kitu cha kula kula,vitu navyopenda sana ni vya sukari sukari ubuyu,bites,popcorn za flavor nzur na sukari !yaan niliamua kujitune nile matunda nikawa najihis njaa tu, nikahamia kwenye maji nikaona uzushi yananifanya nile zaid yaan nikikaa bila kula kula najihis sipo okey kbs! sina mwili mkubwa sana but nanenepa kiwango ncha lami

Nikiwa home wknd ndo kabisaaa !naingia kbs jikon kupika pika napendelea zaid kubake ,kufry na kutengeneza smoothies bas ikinijia picha ya samak/au nione nyama nzuri sehem lazimaaa aisee nitajitahd nipate samak,nyama nikaange nile,hapo saa 10 utanikuta jikon natengeneza samosa za pilipili nile au nitatengeneza kitu chochote tu mrad niwe na vifaa !uwiii jaman mbn nahis kuchoka na siipend hii tabia?? na mume nimemuambukiza bas uwii nakesha jipikilisha tu !

madaktari msaada wenu nawezaje acha hii tabia yaan nataka niwe nakula atleast mara 4 tu kwa siku !!!!!!!!!! nikate kbs ice creams na mazaga zaga yake !nataman kuhamia kijijin ambapo ht unga wa ngano ni adimu ,au matunda yasiwepo !

cc Miss Natafuta aka miss papa!mpenda kula kama mie
Una mimba ya kiume
 
jinsinya kupunguza kula sasa !hatupend ukwel nataman nisile !siku 1 nilisema nafunga kula !nilizimia
Mmmh aisee pole sana.... Kwa kawaida inabidi ule milo mitatu kwa siku asubuhi, mchana na jioni...usipende kuchanganya changanya...ukiona karanga njiani unapiga, mahindi ya kuchoma, kashata,mandazi, matunda, mayai ya kuchemsha...duuuh kuwa makini kwa maana bomu unalotengeneza likilipuka ni shida

Jizoeshe kujidhibiti ni bora ubaki kula matunda na kunywa maji kila baada ya muda au mlo wa asubuhi/mchana na jioni
 
Duuuhh Poleni sana miye kipande cha gimbi,asbh na chaji ya Rangi, mchana ndizi ya kuchoma 1 na zamani kidogo, jioni wali kidogo na glass ya maziwa ila mwili haurudi
 
Unaelekea kua wa mviringo Mbiti,si unaona unaxema hadi sura ilikua oval shape xaiv ni duara
Sasa f u won't change ur lifestyle unaelekea kua wa mviringo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom