asubuhi nimekunywa kikombe cha uji wa lishe
saa nne nikala mkate slace moja na bakuli la tikitimaji
saa saba nikala wali nyama robo sahani
saa nane nikala samaki mdogo mmoja wa kukaanga
hapa nakula tende na maji
tende shake natengeneza sana tena natupia almond .yaani mimi ni mnene mtu akitaka kunigegeda sijui anaanzia wapi aaahahahaahahah nimecheka jaman mie dah ! afu umewah tengeneza TENDE SHAKE !? taaamu !tengeneza siku moja tupia na strwberry 5 hv hutajuta ! umenicheksha jaman !nagain kilos kila mara arghhhhhhhhhh !
Punguzeni kula sana...Too much is harmful
Kula kwa kiasi inatosha sana, mtakuja kupata magonjwa ya tabia halafu mjutie... Kwa hiyo jifunzeni kanuni bora za milo na mazoezi kwa ajili ya miili yenu... Kulakula ovyo bila mpangilio hakufai mwili nao unachoka eti
sawa everest tutajitahidiPunguzeni kula sana...Too much is harmful
Kula kwa kiasi inatosha sana, mtakuja kupata magonjwa ya tabia halafu mjutie... Kwa hiyo jifunzeni kanuni bora za milo na mazoezi kwa ajili ya miili yenu... Kulakula ovyo bila mpangilio hakufai mwili nao unachoka eti
tende shake natengeneza sana tena natupia almond .yaani mimi ni mnene mtu akitaka kunigegeda sijui anaanzia wapi aaah
Yap yap...vizurisawa everest tutajitahidi
tende shake natengeneza sana tena natupia almond .yaani mimi ni mnene mtu akitaka kunigegeda sijui anaanzia wapi aaah
ahaaaa mi sikondi hata nishinde njaa na ndo maana nakula kulahaaahahah !jaman sijui ni nn hii !maana nina appetite ya kufa mtu !nilienda kigoma last month nilirud nimekonda migebuka ilininyoosha !ila macho yalitumbukia ndan aisee !uwii !
toka ninenepe sijagegedwa maana kila anaenitongoza namuonea hurumamie nagegedeka fresh tu !hahaha !tena vies zipo tu !yaan khaa uso umekuwa round na huku mie ni oval shape uson !mxiewwwwwwww
Nimecheka sana..watu wanawaza sana uzinzihahahhahah aisee nimecheka !sure mkuu ila sasa jinsi ya kuacha ndo nashidnwa