Msaada: Nimetekwa China

Msaada: Nimetekwa China

Kuna jama alikua analalamika kila siku asaidizwe depression inamsumbuwa jami inampuuzia yani ameishia kujiuwa mwenyew ,mweny msada wowote amsikie muhusika hata amfate pm maybe atafunguka coz inaonyesha jama anamatatizo kweli ila ametumia njia mbovu ya kujieleza kwa kuhofu kitu cocote !!!
 
Kuna jama alikua analalamika kila siku asaidizwe depression inamsumbuwa jami inampuuzia yani ameishia kujiuwa mwenyew ,mweny msada wowote amsikie muhusika hata amfate pm maybe atafunguka coz inaonyesha jama anamatatizo kweli ila ametumia njia mbovu ya kujieleza kwa kuhofu kitu cocote !!!
Jamaa anaonekana ana tatizo linalohotaji uangalizi wa psychiatrician!
 
This is real life mkuu.. of course nipo under tension kwa sababu nipo detained ila sijawehuka...
Nipo vizuri kiakili mkuu.
Shida yangu haya maCCM yaliyonifuatilia hadi nje ya nchi.
Ninapigwa collabo na mataifa zaidi ya sita.
Nimehifadhiwa somewhere japo ni kifungo cha nje ila kuna kazi nzito sana.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Aliyemaliza kusoma atanielewesha uko china wamemfanya nini
 
Kuwa kichaa sio lazima utemmbee uchi, hata kuona mambo ambayo wengine wanaona haiwezzekani huo nao ni uchizi
 
Mkuu, ahsante kwa ushauri wako.

Ni dhahiri kwamba Joseph anahitaji kumwona daktari.Ila kwa tatizo lake unadhani atatuelewa kweli tunavyomwandikia hapa?Nadhani akili ishajiset kwamba yote haya ni hao jamaa wa CCM ndio wanasababisha.
Tatizo lako wewe mbona unakanusha sana kwamba hao CCM hawahusiki wakati ndio walioniweka huku kifungoni?
Huwezi jiuliza kwanini niliondoka vyuo vyote hivyo na bado naomba msaada UN na amnesty international?
Kwa hiyo kwaakili zako unahisi nani atanihangaisha namna hii mpaka nifikie jukumu la kuja kuomba msaada humu?
Are you crazy? Nyinyi maCCM siku ipo tuu.

NB 1: Nimejifunza kuna nguvu kubwa inatumika kukanusha majasusi wa CCM hawahusiki wakati ndio sababu ya yote haya.
By the way sina haja ya kujificha kwani wengi wanafahamu hili hata mkilizima kwa namna gani bado waungwana watanisikia.

NB 2: Mnakimbilia kuwa mimi nina matatizo ya akili, kejeli kibao ili kuzima hii ishu ila niwaambieni tu mbinu chafu hii imeoza maeneo yote niliyopita watu wanajua na wananijua vizuri. Nawashauri acheni utoto kama ni kuumbuka mlishaumbuka toka siku nyingi sana.
 
Hata kama maccm ni mabaya na unayaonyeshea wazi maadam hugusi maslahi yao hawana shida nawewe
 
Tatizo lako wewe mbona unakanusha sana kwamba hao CCM hawahusiki wakati ndio walioniweka huku kifungoni?
Huwezi jiuliza kwanini niliondoka vyuo vyote hivyo na bado naomba msaada UN na amnesty international?
Kwa hiyo kwaakili zako unahisi nani atanihangaisha namna hii mpaka nifikie jukumu la kuja kuomba msaada humu?
Are you crazy? Nyinyi maCCM siku ipo tuu.

NB 1: Nimejifunza kuna nguvu kubwa inatumika kukanusha majasusi wa CCM hawahusiki wakati ndio sababu ya yote haya.
By the way sina haja ya kujificha kwani wengi wanafahamu hili hata mkilizima kwa namna gani bado waungwana watanisikia.

NB 2: Mnakimbilia kuwa mimi nina matatizo ya akili, kejeli kibao ili kuzima hii ishu ila niwaambieni tu mbinu chafu hii imeoza maeneo yote niliyopita watu wanajua na wananijua vizuri. Nawashauri acheni utoto kama ni kuumbuka mlishaumbuka toka siku nyingi sana.
Mkuu hizo vita zisizoonekana ni vipi?
 
Hata kama maccm ni mabaya na unayaonyeshea wazi maadam hugusi maslahi yao hawana shida nawewe
Sasa wewe ndugu yangu kama hujawahi kukutana na mambo kama haya utaweza ona ni chenga tuu ila ni mambo ya kweli.
Wao wakishapanga kukupata lazima watakusumbua tuu!
Hiyo ndio CCM ndugu.
 
Au mkuu wewe ninani hebu tuambie maana nikama unadhani cc tunakufahamu yani public figure flan hv
 
Back
Top Bottom