Msaada: Nimetekwa China

Msaada: Nimetekwa China

sasa mwanajf mwenzetu hao majasusi ulionao wawili kwa nini usijitoe muhanga uwamalize wote ili angalau ufe kiume sasa kama unezungukwa pande zote nne za dunia unategemea nini kitakuokoa au unataka mpaka utaturiwe marinda ndo ujue huna mwokozi.

Ila kiuhalisia uzi wako umekaa kitapeli .wewe utakuwa una uhusiano mkubwa na yale mabango tunayoyaona mabarabarani yakitutaka tujiunge na freemason
Siwezi kabisa mkuu hiyo ni kazi ya MUNGU.
Na sio wawili tuu... nimesema hao wawili ni watanzania niliokuja nao kama wanafunzi.
Nyuma yao kuna kundi kubwa sana la watu.
Yote namuachia Mwenyezi-Mungu.
Kumbuka huwezi shindana na walimwengu.
 
Siwezi kabisa mkuu hiyo ni kazi ya MUNGU.
Na sio wawili tuu... nimesema hao wawili ni watanzania niliokuja nao kama wanafunzi.
Nyuma yao kuna kundi kubwa sana la watu.
Yote namuachia Mwenyezi-Mungu.
Kumbuka huwezi shindana na walimwengu.
kwahiyo unaamini kabisa mungu atawazuia kujutatua marinda
 
Ndugu yangu mimi mtu wa upinzani sasa hao watu wa CCM wakishakusoma na kuona huna time nao wanakuwekea vikwazo kwa namna mbalimbali kama ilivyonitokea pale RUCU na University of Iringa.
Lengo la hayo mateso ni kukulainisha ili uwe upande wao au kwa kifupi uwapende. Haina tofauti sana na wale watuhumiwa wanaopewa mateso makali ili waseme kitu fulani kama wapo suspected... Hicho ndicho nilichofanyiwa na ninachoelea kufanyiwa.

Mimi nikuambie tuu mkuu ni CHADEMA, mimi napenda mabadiliko, mimi ni mwanamapinduzi wenyewe wajua hili ndio maana waliniingilia kwa gia ya mateso.
Lengo la kunitenga ni ili nifadhaike au niteseka moyoni halafu niwapigie magoti... ukisikia vikwazo ndio hivyo sasa yani unabwanwa hadi unashinwa la kufanya mwishowe unakubali tuu kwa sababu huna namna.
Ndio ni wanausamala wa serikali(CCM) nilikuja kugundua mwezi wa nne mwaka 2017 ila kimsingi ishu imeanza muda tuu kwa kifupi nilishapangiwa hii kitu.
So mambo hayaanzi from nowhere bali yalisha pangwa muda... ndivyo wanavyofanya.

Sina hela kwa sababu sina kibarua mkuu na sidhani kama wataruhusu hili... hata nikipata kibarua mahali sitakifanya kwani watatia figisu zao.
Nimeshaacha vyuo viwili sasa hichi cha tatu nishakiacha tatizo sina pakwenda kwa sababu nipo kifungoni japo ni cha nje ila kimsingi nimetekwa halafu niko nchi ya watu kwa hiyo sina pakwenda... sina pesa pia naogopa kusafiri kwa sababu watanimalia... hilo sidhani kama wataruhusu.
Naomba nisaidiwe kibinadamu kwa sababu naishi kama mfungwa... i need to get out of this prison... yanayofanyika huku ni makubwa sana.

Kwa mfano hata hapa utawaona wanavyokuja negatively kunikaisha tamaa eti nilichoandika hakieleweki though najua sijui kupangilia matukio vizuri ila
hapa mwenye nia njema ataelewa kitu... haters watakanusha na kutoa kejeli.


Mkuu mpaka hapo nadhani utapata uhalisia zaidi.
Mbona nchi hii kuna watu WA upinzani wengi Tu wanasomq na wanagraduate?? Iweje wewe Tu ndo ufuatiliwe mpaka China?? Una nn cha ziada hebu tuambie Mr. Kisandu
 
Mimi sijaelewa mara Mama yako mara CCM inawezekena kwenye nyaya zako kichwani kuna sehemu zimekata
 
Kwa mfano hata hapa utawaona wanavyokuja negatively kunikaisha tamaa eti nilichoandika hakieleweki though najua sijui kupangilia matukio vizuri ila
hapa mwenye nia njema ataelewa kitu... haters watakanusha na kutoa kejeli.

Ndugu ulichoandika sio tu kwamba hukupangilia vizuri ila pia ni kweli hueleweki, kwanza hujasema huko kuanzia RUCU mpaka Iringa university ulichofanyiwa, sasa unahitaji msaada halafu huwi wazi watu wakuelewe wajue wanakusaidiaje, pili habari ndefu tena kama yako isiyo wazi (maana angalau ingekuwa wazi inaweza kumvutia msomaji akafika mwisho hata kama ni ndefu) inachosha na nna uhakika kati ya waliosoma kisa chako wengi hawajamaliza, hivyo jitahidi kufupisha habari yako!!!
 
kama huwezi kushindana nao... jiunge nao
but kwa malengo yako then yakitimia 'utajua mwenyewe what to do...
 
Kweli wangekuwa wanakufatilia na kukubana ungepata muda wa Kuandika thread ndefu hii? Ucha ukichaa dogo
 
Mkuu, kwa maelezo yako ni ngumu kujua unahitaji msaada gani.

Umedai wanakutesa kwa 'vita ya kimwili isiyoonekana(kichawi)', upo kifungoni, upo na wanaCCM (watanzania) ambao unaishi nao chumba kimoja.Unaweza kusema kama wamekutesa au kukufanyia umafia wowote kimwili?

Hilo la kichawi unauhakika gani?

NB: Kama kuna mtanzania kwenye huo mji akamfate huyu bwana amsaidie, anahitajika hospitali.It's like haelewani na mtu yoyote kuanzia nyumbani kwao hadi chuoni.
 
@joseph mahoo pole sana naona hii ndio post yako ya kwanza baada ya kuidhinishwa kuwa mwanachama wa JF
Joseph pamoja na hayo yote lakini una tatizo kubwa la kisaikolojia.. HOFU ya kufuatiliwa na watu wasiojulikana na ya kwamba madhila yako yote yanasababishwa na wao

FEAR OF THE UNKNOWN!
Una hofu na visivyojulikana na akili yako inajikuta inavitafsiri kinyume na uhalisia wake na kukujengea mazingira ya
. kuchukiwa
. kuonewa
. kufuatiliwa
. kuuwawa
. kuteswa
. kufelishwa
. kutekwa nknk
Unahitajika kuonana na daktari bingwa wa magonjwa ya akili anaweza kukusaidia sana ukarudi normal... Usipopata tiba mapema utaishia kuwehuka kabisa ama kujiua
Wale wendawazimu wanaopayuka na kukimbiakimbia ama kujifichaficha huku wakisema... Hao! Hao! wanakuja! wanakuja... Wametumwa wametumwa....! Walianza kama wewe... Weka mawasiliano yako hapa utasaidika
Mkuu, ahsante kwa ushauri wako.

Ni dhahiri kwamba Joseph anahitaji kumwona daktari.Ila kwa tatizo lake unadhani atatuelewa kweli tunavyomwandikia hapa?Nadhani akili ishajiset kwamba yote haya ni hao jamaa wa CCM ndio wanasababisha.
 
Back
Top Bottom