Msaada: Nimetekwa China

Msaada: Nimetekwa China

Pole sana, nimefuatilia Uzi wako A-Z ila nimegundua ni uongo tu! Yaani wewe uliyemaliza Form 6_ 2015 Leo hii 2018 una lipi LA maana hadi ufuatiliwe na CCM kiasi hicho? Yaani CCM yaani wewe uliyemaliza form six 2015, leo CCM itumie hadi Freemasonry kukufuata wewe? Unasema mama yako anahusika hata kama lakini sidhani kama unahitajika kiasi hicho huko CCM. Hivi MTU kama FATUMA KARUME mtoto ambaye ametokea kwenye familia ya CCM na sasa hivi anaipinga sana sidhani kama anafuatiliwa hivi! Alafu unaongea kwa parables tu, kama ingekuwa ni kweli na unateseka kiivyo usingetumia Parables . Acha utoto ndugu
 
Mwanamapinduzi unashindwaje kupinduka mbele ya unaotaka wakupe mapinduzi....

We sio mwanaharakati teena... We ni mtekwaji... Unawaomba amnesty wakuokoe... It means ushafeli.


Ila kaza tu hakuna harakati bila maumivu....

Si umejitakia.. Km kweli we komaa tu... Iwe siri yako... Hata mandela alikaa jela... Sembuse wewe uko ghetto teena china teena unachat...

We kaza tu man... Binafsi sina msaada na hata ningekuwa nao nisingetoa kwa mambo ya kujitakia....
 
Mkuu kichwa ulichoanza nacho hakiendani kabisa na stori yako, yani umenishtua mpaka nikaanza kuandaa ransom nikijua umetekwa daah jifunze kuandika na kuopen up kama ni kweli mana fiction stories in jf are too much
 
Ndugu yangu mimi mtu wa upinzani sasa hao watu wa CCM wakishakusoma na kuona huna time nao wanakuwekea vikwazo kwa namna mbalimbali kama ilivyonitokea pale RUCU na University of Iringa.
Lengo la hayo mateso ni kukulainisha ili uwe upande wao au kwa kifupi uwapende. Haina tofauti sana na wale watuhumiwa wanaopewa mateso makali ili waseme kitu fulani kama wapo suspected... Hicho ndicho nilichofanyiwa na ninachoelea kufanyiwa.

Mimi nikuambie tuu mkuu ni CHADEMA, mimi napenda mabadiliko, mimi ni mwanamapinduzi wenyewe wajua hili ndio maana waliniingilia kwa gia ya mateso.
Lengo la kunitenga ni ili nifadhaike au niteseka moyoni halafu niwapigie magoti... ukisikia vikwazo ndio hivyo sasa yani unabwanwa hadi unashinwa la kufanya mwishowe unakubali tuu kwa sababu huna namna.
Ndio ni wanausamala wa serikali(CCM) nilikuja kugundua mwezi wa nne mwaka 2017 ila kimsingi ishu imeanza muda tuu kwa kifupi nilishapangiwa hii kitu.
So mambo hayaanzi from nowhere bali yalisha pangwa muda... ndivyo wanavyofanya.

Sina hela kwa sababu sina kibarua mkuu na sidhani kama wataruhusu hili... hata nikipata kibarua mahali sitakifanya kwani watatia figisu zao.
Nimeshaacha vyuo viwili sasa hichi cha tatu nishakiacha tatizo sina pakwenda kwa sababu nipo kifungoni japo ni cha nje ila kimsingi nimetekwa halafu niko nchi ya watu kwa hiyo sina pakwenda... sina pesa pia naogopa kusafiri kwa sababu watanimalia... hilo sidhani kama wataruhusu.
Naomba nisaidiwe kibinadamu kwa sababu naishi kama mfungwa... i need to get out of this prison... yanayofanyika huku ni makubwa sana.

Kwa mfano hata hapa utawaona wanavyokuja negatively kunikaisha tamaa eti nilichoandika hakieleweki though najua sijui kupangilia matukio vizuri ila
hapa mwenye nia njema ataelewa kitu... haters watakanusha na kutoa kejeli.


Mkuu mpaka hapo nadhani utapata uhalisia zaidi.[/QUOTE
Ndugu ukiacha historia yako ya vyuoni, umesema ni we ni mwanamapinduzi, chadema. Na chanzo cha mateso yako unasema ni siasa, hivyo basi mi naomba historia yako katika siasa kuanzia ulipoanza hizo siasa na viwango vyako vya ushiriki mpaka hapo ulipo. Kuanzia mitaani, vyuoni nk
 
Kwa aliyeelewa anihadithie.
Maana naona jamaa kama Dr. toka kule USSR ya zamani.
yani hata yule dr alijielezea vizuri akawa anaeleweka maana hapa tumechangaywa kweli keli....mara mapepo, kuna swala la elimu, kuna swala la nyota na matayo hapo hapo unaambiwa kama hujaelewa na we ni pepo kutoka chama tawala! khaaa
 
This is real life mkuu.. of course nipo under tension kwa sababu nipo detained ila sijawehuka...
Nipo vizuri kiakili mkuu.
Shida yangu haya maCCM yaliyonifuatilia hadi nje ya nchi.
Ninapigwa collabo na mataifa zaidi ya sita.
Nimehifadhiwa somewhere japo ni kifungo cha nje ila kuna kazi nzito sana.

Mkuu wewe ni kiongozi mkubwa sana hapo kenye hicho chama ulichopo?
 
Pychosis at work. I smell Deo Kisandu here!! Usipowahi Milembe jiandae kuokota makopo!
 
This is real life mkuu.. of course nipo under tension kwa sababu nipo detained ila sijawehuka...
Nipo vizuri kiakili mkuu.
Shida yangu haya maCCM yaliyonifuatilia hadi nje ya nchi.
Ninapigwa collabo na mataifa zaidi ya sita.
Nimehifadhiwa somewhere japo ni kifungo cha nje ila kuna kazi nzito sana.
Mmh I know you are not faking... But please take my advice....
 
Ndugu ukiacha historia yako ya vyuoni, umesema ni we ni mwanamapinduzi, chadema. Na chanzo cha mateso yako unasema ni siasa, hivyo basi mi naomba historia yako katika siasa kuanzia ulipoanza hizo siasa na viwango vyako vya ushiriki mpaka hapo ulipo. Kuanzia mitaani, vyuoni nk
Sikia nikuambie wewe nimesema nilianza kuhangaishwa chuoni huko mwaka 2016 hapo nilikua na miaka 21!
Siasa ningafanya wapi wakati ndio kwanza nilikua nasoma... na nikuambie tuu mimi nilikua sipendi siasa ili nilitamani siku moja CCM itolewe madarakani ndio maana wazee wakitengo walinisoma sasa wakaona gia ya kunipata ni kunipa mateso...

Vitu vingine kama hujui ni bora uulize ila kama umekuja kukana hapa its okay maana ndio kazi yenu... nawaona mnavyopinga kwa nguvu zote hapa ila niwaambie tuu mambo yenu yanafahamika everywhere hapa ni kama kutwanga maji kwenye kinu.

NB: Mtu wao wanaemtaka huwa wanamchimba toka utotoni kama ulikua hujui naomba utambue hilo! Ndio ukisikia watu wanaandaliwa ujue walishatazamwa toka utotoni. That's background check... unaowaona walioko juu usifikiri walijikuta wapo hapo juu tuu.
Kilichofanyika kwenye hivyo vyuo sio kigeni kwani ndipo vijana wanapotafutwa.
I hope nimekufungua kidogo au kama ni mamluki its okay simply because i expected you here kama kawaida yenu.
 
Wewe si mzima wa akili
Ndugu yangu mimi mtu wa upinzani sasa hao watu wa CCM wakishakusoma na kuona huna time nao wanakuwekea vikwazo kwa namna mbalimbali kama ilivyonitokea pale RUCU na University of Iringa.
Lengo la hayo mateso ni kukulainisha ili uwe upande wao au kwa kifupi uwapende. Haina tofauti sana na wale watuhumiwa wanaopewa mateso makali ili waseme kitu fulani kama wapo suspected... Hicho ndicho nilichofanyiwa na ninachoelea kufanyiwa.

Mimi nikuambie tuu mkuu ni CHADEMA, mimi napenda mabadiliko, mimi ni mwanamapinduzi wenyewe wajua hili ndio maana waliniingilia kwa gia ya mateso.
Lengo la kunitenga ni ili nifadhaike au niteseka moyoni halafu niwapigie magoti... ukisikia vikwazo ndio hivyo sasa yani unabwanwa hadi unashinwa la kufanya mwishowe unakubali tuu kwa sababu huna namna.
Ndio ni wanausamala wa serikali(CCM) nilikuja kugundua mwezi wa nne mwaka 2017 ila kimsingi ishu imeanza muda tuu kwa kifupi nilishapangiwa hii kitu.
So mambo hayaanzi from nowhere bali yalisha pangwa muda... ndivyo wanavyofanya.

Sina hela kwa sababu sina kibarua mkuu na sidhani kama wataruhusu hili... hata nikipata kibarua mahali sitakifanya kwani watatia figisu zao.
Nimeshaacha vyuo viwili sasa hichi cha tatu nishakiacha tatizo sina pakwenda kwa sababu nipo kifungoni japo ni cha nje ila kimsingi nimetekwa halafu niko nchi ya watu kwa hiyo sina pakwenda... sina pesa pia naogopa kusafiri kwa sababu watanimalia... hilo sidhani kama wataruhusu.
Naomba nisaidiwe kibinadamu kwa sababu naishi kama mfungwa... i need to get out of this prison... yanayofanyika huku ni makubwa sana.

Kwa mfano hata hapa utawaona wanavyokuja negatively kunikaisha tamaa eti nilichoandika hakieleweki though najua sijui kupangilia matukio vizuri ila
hapa mwenye nia njema ataelewa kitu... haters watakanusha na kutoa kejeli.


Mkuu mpaka hapo nadhani utapata uhalisia zaidi.
 
Mkuu sijafanikiwa kuelewa japo kwa kiasi fulani nimevutiwa na simulizi lako kuna mambo mengi ningependa kujua kutoka kwako ila inaonekana sio mtu wa mchezo mchezo huko china unaishi kwa pesa ya nani kwanza tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom