Msaada: Nimetekwa China

Msaada: Nimetekwa China

Mkuu wewe ni kiongozi mkubwa sana hapo kenye hicho chama ulichopo?
Chuki ya nini ndugu? kwanini hamkubali ukweli?
Kwanini mnatumia nguvu kubwa kiasi hicho?
It's real i'm agaisnt you and you know it very well so kilichobaki nadhani ni mnataka kujisafisha? right... i think so but wanasema ukijua kweli itakuweka huru.
Niwaambie ukweli tuu siwapendi... na mtambue sio kila mtu anawapenda!
Kwa gia mliyoniingilia nayo pale RUCO sio nzuri ikizingatiwa sina time na nyie.
Gia kama hizo mnapaswa muwaingilie wale watu wenu mnaojua wanawapenda sio sisi sisi watu tunaoamini katika demokrasia na haki.
Lichama gani linatawala toka mwaka 61? yani miaka 57 hamtambui kama kuna wengine? is it right?
Hakika sio haki mnatawala kwa upanga au mkono wa chuma na ndio maana mnanifanyia hivi pamoja na wengine mliowazima mdomo (Detained kimya kimya).
Kwa vile sisi tunamtegemea MUNGU basi atatenda haki kwa maana ni wetu sote.
 
Mkuu sijafanikiwa kuelewa japo kwa kiasi fulani nimevutiwa na simulizi lako kuna mambo mengi ningependa kujua kutoka kwako ila inaonekana sio mtu wa mchezo mchezo huko china unaishi kwa pesa ya nani kwanza tuanzie hapo
Nimeandika kwa kifupi kwa sababu ni mengi yametokea from 2016 yani ningeandika yote ningejaza kitabu.
Nime summarize...
Kuhusu swala la pesa naomba nikuambie tuu ni za wazazi wangu.. nimesoma kwa kwa bodi ya mkopo na tafu kutoka kwa wazazi hayo mengine siyaelewi.
Laiti ungejua maana ya dhuluma basi nafsi yako ingekua na amani.
 
Chuki ya nini ndugu? kwanini hamkubali ukweli?
Kwanini mnatumia nguvu kubwa kiasi hicho?
It's real i'm agaisnt you and you know it very well so kilichobaki nadhani ni mnataka kujisafisha? right... i think so but wanasema ukijua kweli itakuweka huru.
Niwaambie ukweli tuu siwapendi... na mtambue sio kila mtu anawapenda!
Kwa gia mliyoniingilia nayo pale RUCO sio nzuri ikizingatiwa sina time na nyie.
Gia kama hizo mnapaswa muwaingilie wale watu wenu mnaojua wanawapenda sio sisi sisi watu tunaoamini katika demokrasia na haki.
Lichama gani linatawala toka mwaka 61? yani miaka 57 hamtambui kama kuna wengine? is it right?
Hakika sio haki mnatawala kwa upanga au mkono wa chuma na ndio maana mnanifanyia hivi pamoja na wengine mliowazima mdomo (Detained kimya kimya).
Kwa vile sisi tunamtegemea MUNGU basi atatenda haki kwa maana ni wetu sote.

hahaha sawa mkuu..ila haya malalamiko ungeyaelekeza ofisi ya H polepole dodoma ungekua umetisha zaidi....maana hao wakina "sisi" na chama "chetu" unaowamaindi hapa ni kama unarusha jiwe gizani...mimi chama nilichopo na nichokipenda ni chama cha wamiliki wa landrover za zamani...
 
Joseph unahitaji mwanasaikolojia.......maelezo yako tatizo sio jamii inayokuzunguka ila lipo kwako mwenyewe
 
Sikia nikuambie wewe nimesema nilianza kuhangaishwa chuoni huko mwaka 2016 hapo nilikua na miaka 21!
Siasa ningafanya wapi wakati ndio kwanza nilikua nasoma... na nikuambie tuu mimi nilikua sipendi siasa ili nilitamani siku moja CCM itolewe madarakani ndio maana wazee wakitengo walinisoma sasa wakaona gia ya kunipata ni kunipa mateso...

Vitu vingine kama hujui ni bora uulize ila kama umekuja kukana hapa its okay maana ndio kazi yenu... nawaona mnavyopinga kwa nguvu zote hapa ila niwaambie tuu mambo yenu yanafahamika everywhere hapa ni kama kutwanga maji kwenye kinu.

NB: Mtu wao wanaemtaka huwa wanamchimba toka utotoni kama ulikua hujui naomba utambue hilo! Ndio ukisikia watu wanaandaliwa ujue walishatazamwa toka utotoni. That's background check... unaowaona walioko juu usifikiri walijikuta wapo hapo juu tuu.
Kilichofanyika kwenye hivyo vyuo sio kigeni kwani ndipo vijana wanapotafutwa.
I hope nimekufungua kidogo au kama ni mamluki its okay simply because i expected you here kama kawaida yenu.
Utakuwa unatazama series sana
 
Ndugu yangu mimi mtu wa upinzani sasa hao watu wa CCM wakishakusoma na kuona huna time nao wanakuwekea vikwazo kwa namna mbalimbali kama ilivyonitokea pale RUCU na University of Iringa.
Lengo la hayo mateso ni kukulainisha ili uwe upande wao au kwa kifupi uwapende. Haina tofauti sana na wale watuhumiwa wanaopewa mateso makali ili waseme kitu fulani kama wapo suspected... Hicho ndicho nilichofanyiwa na ninachoelea kufanyiwa.

Mimi nikuambie tuu mkuu ni CHADEMA, mimi napenda mabadiliko, mimi ni mwanamapinduzi wenyewe wajua hili ndio maana waliniingilia kwa gia ya mateso.
Lengo la kunitenga ni ili nifadhaike au niteseka moyoni halafu niwapigie magoti... ukisikia vikwazo ndio hivyo sasa yani unabwanwa hadi unashinwa la kufanya mwishowe unakubali tuu kwa sababu huna namna.
Ndio ni wanausamala wa serikali(CCM) nilikuja kugundua mwezi wa nne mwaka 2017 ila kimsingi ishu imeanza muda tuu kwa kifupi nilishapangiwa hii kitu.
So mambo hayaanzi from nowhere bali yalisha pangwa muda... ndivyo wanavyofanya.

Sina hela kwa sababu sina kibarua mkuu na sidhani kama wataruhusu hili... hata nikipata kibarua mahali sitakifanya kwani watatia figisu zao.
Nimeshaacha vyuo viwili sasa hichi cha tatu nishakiacha tatizo sina pakwenda kwa sababu nipo kifungoni japo ni cha nje ila kimsingi nimetekwa halafu niko nchi ya watu kwa hiyo sina pakwenda... sina pesa pia naogopa kusafiri kwa sababu watanimalia... hilo sidhani kama wataruhusu.
Naomba nisaidiwe kibinadamu kwa sababu naishi kama mfungwa... i need to get out of this prison... yanayofanyika huku ni makubwa sana.

Kwa mfano hata hapa utawaona wanavyokuja negatively kunikaisha tamaa eti nilichoandika hakieleweki though najua sijui kupangilia matukio vizuri ila
hapa mwenye nia njema ataelewa kitu... haters watakanusha na kutoa kejeli.


Mkuu mpaka hapo nadhani utapata uhalisia zaidi.
WE JAMAA ULIYETEKWA NANI KAKUTEKA, HALAFU ANAKUPA SIMU UCHATI MAMESEJI MAREEEEFUUU MUDA WOTE HUUU!!!!? Jibu maswali tuliyokuuliza
 
This is real life mkuu.. of course nipo under tension kwa sababu nipo detained ila sijawehuka...
Nipo vizuri kiakili mkuu.
Shida yangu haya maCCM yaliyonifuatilia hadi nje ya nchi.
Ninapigwa collabo na mataifa zaidi ya sita.
Nimehifadhiwa somewhere japo ni kifungo cha nje ila kuna kazi nzito sana.
USHAURI;
IANDIKIE JUMUIYA YA KIMATAIFA KAMA UNA UHAKIKA NA UNACHO KIANDIKA HAPA ILI KUOMBA MSAAADA !!!
 
Back
Top Bottom