Joseph Mahoo
Member
- Nov 28, 2018
- 13
- 14
- Thread starter
- #61
Chuki ya nini ndugu? kwanini hamkubali ukweli?Mkuu wewe ni kiongozi mkubwa sana hapo kenye hicho chama ulichopo?
Kwanini mnatumia nguvu kubwa kiasi hicho?
It's real i'm agaisnt you and you know it very well so kilichobaki nadhani ni mnataka kujisafisha? right... i think so but wanasema ukijua kweli itakuweka huru.
Niwaambie ukweli tuu siwapendi... na mtambue sio kila mtu anawapenda!
Kwa gia mliyoniingilia nayo pale RUCO sio nzuri ikizingatiwa sina time na nyie.
Gia kama hizo mnapaswa muwaingilie wale watu wenu mnaojua wanawapenda sio sisi sisi watu tunaoamini katika demokrasia na haki.
Lichama gani linatawala toka mwaka 61? yani miaka 57 hamtambui kama kuna wengine? is it right?
Hakika sio haki mnatawala kwa upanga au mkono wa chuma na ndio maana mnanifanyia hivi pamoja na wengine mliowazima mdomo (Detained kimya kimya).
Kwa vile sisi tunamtegemea MUNGU basi atatenda haki kwa maana ni wetu sote.
