Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,722
- 6,593
Sio ya kwako hii simu, huwezi sahau kila kitu kuanzia password mpaka email yako.nimefanya factory reset now nahangaika kwenye email maana nimesahau
Sio ya kwako hii simu, huwezi sahau kila kitu kuanzia password mpaka email yako.nimefanya factory reset now nahangaika kwenye email maana nimesahau
Mwambie akupe sasa huyo sisterNimemaanisha simu alikuwa anatumia sister na ndio aliweka email yake
Sawa kesho asubuhi nitamwambia anipe email yake au majina aliyotumia kusajili email yake.Mwambie akupe sasa huyo sister
Hiyo simu sio yako na inawezekana hujaipata kihalaliNimemaanisha cm alikuwa anatumia sister na ndio aliweka e email yake
Itakua ni ya dadaake mwenye email labdaHuyu inaonyesha simu sio yake haiwezekani usahau kila kitu.
Dah....Kama utaweza jaribu uwe unakula angalau bamia 1 mbichi kwenye kila mlo wako...Mkuu hapo ndio Luna shida nimesahau email na user name

Dah...na akiwa na dada zaidi ya wawili itakuwa shida tena....hatakumbuka ni dada yake yupiItakua ni ya dadaake mwenye email labda







Dah...na akiwa na dada zaidi ya wawili itakuwa shida tena....hatakumbuka ni dada yake yupi![]()
Mkuu nisaidie hapa kwenye kuset e email nimesahau nataka kuweka nyingine inawezekana?
Eti uweke password alafu usahai why?hiyo simu ni ya wizi Mkuu mrudishie mwenyewewakuu,nategemea mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu kama kawaida.
Wakuu simu yangu nilibadili password kwa bahati mbaya nilisahau password mpya niliyoiweka. nimeshidwa kuifungua .naombeni msaada wa jinsi ya kuanlock simu hiyo. model ya simu in Wiko Lenny 4 plus.
wakuu,nategemea mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu kama kawaida.
Wakuu simu yangu nilibadili password kwa bahati mbaya nilisahau password mpya niliyoiweka. nimeshidwa kuifungua .naombeni msaada wa jinsi ya kuanlock simu hiyo. model ya simu in Wiko Lenny 4 plus.
nimefanya factory resert now naangaika kwenye email maana nimesahau
wakuu,nategemea mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu kama kawaida.
Wakuu simu yangu nilibadili password kwa bahati mbaya nilisahau password mpya niliyoiweka. nimeshidwa kuifungua .naombeni msaada wa jinsi ya kuanlock simu hiyo. model ya simu in Wiko Lenny 4 plus.
brand ni WIKOMbona hamjamuuliza ni simu aina gani?