Msaada: Nimesahau password ya simu yangu

Msaada: Nimesahau password ya simu yangu

Una pc karibu? nikupe maelekezo na link ya kupakua program fulani!!..
Ndio mkuu ninayo.Luna watu wanasema cm. sio yangu nimeiba jibu ni hapana hiyo nilimpa dada yangu aitumie na aliset vitu vyote so juzi alibadili password ndio majanga haya yakajitokeza
 
Na kuvirejesha tena si mpaka uvi-download au?? Ebu nifute ujinga boss.
Ndio mpaka udownload nasio vitu vyote unadownload kwa wakati mmoja mfano mm kuna ma doc nimeweka humo like mavyeti nakadhalika nikitaka kuvitumia nadownload kisha naenda print natumia vikiwa vinahitajika inakuwa ni store unaweka tu humo vitu ukihitaji unachukua tu unatumia
 
Ndio mkuu ninayo.Luna watu wanasema cm. sio yangu nimeiba jibu ni hapana hiyo nilimpa dada yangu aitumie na aliset vitu vyote so juzi alibadili password ndio majanga haya yakajitokeza

Utadownload app moja inaitwa miracle box kupitia link hii then install katika pc yak, ila kabla ya kuinstall hiyo program zima antvirus wote.
 
Ndio mkuu ninayo.Luna watu wanasema cm. sio yangu nimeiba jibu ni hapana hiyo nilimpa dada yangu aitumie na aliset vitu vyote so juzi alibadili password ndio majanga haya yakajitokeza
Kama hiyo program itakuwa ngumu kuitumia download hii hapa. Gsm aladin
Utatoa Pasword bila kufuta vitu vyako
 
Ndio mpaka udownload nasio vitu vyote unadownload kwa wakati mmoja mfano mm kuna ma doc nimeweka humo like mavyeti nakadhalika nikitaka kuvitumia nadownload kisha naenda print natumia vikiwa vinahitajika inakuwa ni store unaweka tu humo vitu ukihitaji unachukua tu unatumia
 
Back
Top Bottom