Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,724
- 12,381
Wakuu heshima kwenu,
Nimepoteza simu na pochi maeneo ya Tanga mjini hadi Pongwe, sina hakika ni wapi ila nilipanda daladala alasiri hii. Naomba kujua namna ya kubock simu yangu isiendelee na matumizi tena.IMEI namba ninazo.
NB. Kwenye pochi kulikuwa na vitambulisho,kadi ya ATM na simu (Lenovo)
Kwa atakayeviona, tafadhali tuwasiliane PM.
Asante.
Nimepoteza simu na pochi maeneo ya Tanga mjini hadi Pongwe, sina hakika ni wapi ila nilipanda daladala alasiri hii. Naomba kujua namna ya kubock simu yangu isiendelee na matumizi tena.IMEI namba ninazo.
NB. Kwenye pochi kulikuwa na vitambulisho,kadi ya ATM na simu (Lenovo)
Kwa atakayeviona, tafadhali tuwasiliane PM.
Asante.