Chaji zake zipo vipi ?!Mbona mimi nlikuwa najitumia na ilikuwa ni instant ikichelewa sana dakika 5.
Nilikuwa najitumia from my payoneer mastercard via worldremit to airtel au mpesa
Chaji zake zipo vipi ?!Mbona mimi nlikuwa najitumia na ilikuwa ni instant ikichelewa sana dakika 5.
Nilikuwa najitumia from my payoneer mastercard via worldremit to airtel au mpesa
Yes, unakuja huo na wa mpesa.Ujumbe ni kama huo wangu kwenye Screenshot?
Transactions 3 za kwanza zlikuwa bure znazofuata zilikuwa within4-8 usdChaji zake zipo vipi ?!
Nashukuru wakuu!Yes, unakuja huo na wa mpesa.
Oooh! Kila la kheri mkuu.Nashukuru wakuu!
Nimegundua kosa lilifanyika
Mtumaji alikosea namba moja
Ujumbe niliopata ni direct kutoka kwenye Email maana Email ilikua sahihi ila namba alikosea naendelea kuwasiliana na voda haka kahela kasikukuu kasipotee. Ila nawashukuru JF ni msaada
Okay, kumbe ni cheap!Transactions 3 za kwanza zlikuwa bure znazofuata zilikuwa within4-8 usd
Una bahati.Ndio ilienda kwa mtu mwingine
Bahati nzuri alikua bado hajatoa