Todito
Senior Member
- Feb 6, 2013
- 154
- 357
Kwema?
Nimepokea pesa kidogo kutoka kwa rafiki yangu nje ya nchi na kwa sababu PayPal haipokei pesa Tanzania nikamuomba anitumie kupitia Worldremit.
Tayari kanitumia tangu saa sita mchana na sasa ni saa kumi na nusu na nimepata Sms hiyo (Screenshot)ila salio kwenye MPESA hakuna kilichoongezeka nimewapigia voda sielewi majibu yao na jamaa kule kasema ameshatuma.
Wenye uzoefu naomba msaada Tafadhali.
Nimepokea pesa kidogo kutoka kwa rafiki yangu nje ya nchi na kwa sababu PayPal haipokei pesa Tanzania nikamuomba anitumie kupitia Worldremit.
Tayari kanitumia tangu saa sita mchana na sasa ni saa kumi na nusu na nimepata Sms hiyo (Screenshot)ila salio kwenye MPESA hakuna kilichoongezeka nimewapigia voda sielewi majibu yao na jamaa kule kasema ameshatuma.
Wenye uzoefu naomba msaada Tafadhali.