Msaada: Nimeona Kitu Kwenye Selection

Oh No! I'm Gonna die in Vain!!! I fought Hard to get Higher Education, But at the End..... I'm a Loser!!!!
Ebu weka matokeo yako na vyuo ulivyochagua. Mi nahisi competition imekutupa nje kama ufaulu wako ni kuanzia div 2 za mwisho alafu ukachagua vyuo vyenye competition kubwa kama UDSM, SUA, MZUMBE, ARDHI, MUHIMBILI utakuwa umechamalizwa kwahiyo utasubir second selection ambayo utaletewa vyuo vya private visivyo na hadhi kama vile Jordan, Archbipshop, Stella Maris, n.k kwa sababu hata vile vya private vizur vitakuwa vimeshajaa au kuondolewa ili na hivi vingine vipate. Hii ilitokea kwa dogo niliemuombea nafasi mwaka jana. Utahisi kukata tamaa ya kusoma ila utajikaza tu uende kama utapata mkopo ila ndo hivyo utakuwa kama umefungwa mdomo maana huwezi kutajataja chuo unakisoma kwa watu maana ni aibu.
 
Kwa mawazo kama haya una safari ndefu mno kujua nini maana ya elimu.
 

Mkuu Sikuomba Diploma, Nimeomba Degree (Local Undergraduate) Kwa Umakini Kabisa Nikiwa Ninafahamu Nini Ninakifanya
 

Haya Maelezo Yako Yanaleta Maana inayokaribiana Na Ukweli Kidogo.
 
HAPO HAMJAELEWA KITU
IKO HIV NACTE WAMECHANGANYA MADESA KWAN WANAOSUBILIA SECOND SELECTION NI WA CERT & DIPLOMA AMBAPO ILITOKA FIRST SELECTION AND NOW ARE WAITING FOR SECOND SELECTION ESPECIAL WHO APPLIED FOR SECOND ROUND
SASA KWAVILE WALE WA DIGRII WALIAPPLY TCU KUPITIA FILE LA NACTE NA MFUMO NDO ULE ULE ULIOTUMIKA NA WA CERT & DIPLOMA HIVYO HIYO TAARIFA NI YA WATU WA CERT & DIP INGWAJE IMEATHILI FILES ZA WATU WA DIGRII
 
Naona hakuna mwenye maelezo ya kutosha zaid ya wao wenyewe TCU/ NACTE.

SUBIRINI HIYO KESHO 31 AUGUST
 
Utapatje aibu je na ambaye amekosa kabisa ebu acheni dharau inmradi update bumu na elimu ndo kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…