Duuh uliomba kupitia NACTE? Coz Mimi kuna ndugu yangu aliomba alichaguliwa first selection kwa category ya cheti na diploma sio bachelor akawa amechaguliwa! Sasa Jana amepewa nauli kwenda kufatilia Chuo alichochaguliwa kuingia kwenye profile yake amekuta ameandikiwa hivyo.Sasa ata hatuelewi mpaka mda huu afanyaje! Kama kuna mtu anaweza kutusaidia mawazo atusaidie tufanyeje?