Msaada: Nimelikanyaga, uume unatoa usaha

pia kama una namba ya simu ya huyo mrembo mwambie aende hospitali akapate tiba kwasababu unaweza kuta dada ni mrembo sana lakini hajui kama ana huu ugonjwa simply because dalili za gono kwa mwanamke kama sijakosea huchukua muda mrefu sana mpaka kuonekana.Na ujinga wa wanaume wengi akiona tuu dada mrembo basi yeye ni nyama kwa nyama ikizingatia siku hizi hofu ya ukimwi imepungua sana kuliko UTI kwasababu uti mtu anaanza kujishtukia na kijasho fulani hivi tuu.pia hofu ya mungu ni ndogo sana kwa watu akiwa na watu anowajua anajidai mcha mungu ila akiwa gizani ni zaidi ya hao unao waita malaya au wadhinifu mungu atusaidie katika hili can u emagine mtu anagigwa game na mtu mwingine na ana toka maziwa kifuani tena bila kinga?basi haya yapo
Aisee kaka yule mrembo c nilikutana nae kwa onetime coz nilisafiri kwenda mbeya kiutaftaji so nikatake guest so nikamuomba mdada ambae alikuwa anasimamia guest anitaftie mdada wa kuniblanket ndipo aliponiletea huyu mdada mrembo aloniambukiza hili Gono pia hata number ya simu hatukubadilishana
 
Nimekuwa kimya sana week iliyopita nilikuwa nimesafiri kidogo kwenda Mbeya kama kawaida ya Beberu-mpya nikamuona mtoto huyu ambae amenisabashia hii kitu, sasa jana ndo nimeona hali hii, nifanyaje?
Sasa huu ugonjwa sawa unatibika, je UKIMWI utapona sasa ndugu yangu, yaani kweli kabisaaaaa mtu hata hata Hali yake ya maambukizi hujui unaenda hivyo hivyo. Dah kweli watu mna uthubutu, haya njoo inbox.
 
Duh..!
Ngoja nipite mbali maana nijuavyo mimi kama dushe linatoa usaha hivyo basi kwa ndani kumeshaoza na funza wamo.!
 
Back
Top Bottom