Msaada: Nimelikanyaga, uume unatoa usaha

Wacha kutuonesha uchafu wako, kwani huwezi kusema bila kuuonyesha huo uozo wako?
Unaonekana siyo mstaarabu.
Muhuni fulani
Kaka kwani me nimeona nipate ushauri mzuri ni lazima nioneshe ukweli ila am sorry naomba ushauri wako
 
Hapana usitishike unaweza kupata gono bila kupata ukimwi sio lazima kila mwenye ugonjwa wa zinaa anakuwa na maambukizi ya ukimwi
 
Back
Top Bottom