Msaada: Nimelikanyaga, uume unatoa usaha

Kaka kwani me nimeona nipate ushauri mzuri ni lazima nioneshe ukweli ila am sorry naomba ushauri wako
Ushauli
Nenda kamwone daktari katika hospitali inayotambulika na serikali.
Utatibiwa, tatizo lako linatibika hospitalini sio mtandaoni.
Hilo ni tatizo la kitaaluma na sio la kijamii ambalo mtu yoyote anaweza kukushauri.
 
Huna lolote wewe kwanza ni Mtu wa Makiki sana, nimefuatilia post zako zilizopita unaonekana ni Mtu wa masifa sana. Mara unapenda sex ila ukigonga tu mimba Mara nin, wewe masifa tu huna lolote
Kideko acha ushamba kwani wewe humu ndani unalipwa au unapata faida gani kwani si sehemu ya kielimishana, kufurahishana na kuburudishana. Sasa why unataka kila jambo liwe la kweli?
 
Wanaume bana huku unauliza kuna hospital? Badala ya kuwahi kituo cha afya unakuja kuwapa watu kinyaa hukuu alaa.
Halafu condom mnadhani zimewekwa za kufanya maputo?
 
Back
Top Bottom