Habari ndugu , nimeitwa katika usaili wa mchujo/awali kama ni fundi umeme ila naitaji mtu alie pitia hii inshu anielekezE katika usaili wa mchujo/awali kuna nini cha zaida naombeni ndugu zangu
Ukikosa kazi utanicheki inbox tuangalie ni namna gani tunaweza kutumia ujuzi wako wa umeme kujiingizia kipato, tunaweza kuanzisha kaofisi then tukawa tunatafuta tenda za kufanya wiring kwenye nyumba za watu na matengenezo mengine madogo madogo. Kila la kheri katika usaili wako mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.