Superleta
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 575
- 665
Nimeibiwa simu hapa nahisi kuchanganyikiwa, natmia kisim kizito kuandika hapa inaskrach balaa nisameheni kwa mwandiko,nahisi nimechanganyikiwa nifanyeje niiipate tena simu yangu?
Nimeibiwa simu wakati ambao nimefulia maana cm yng ndo ilikua km jembe kwangu ndo ilikua inanilisha na kuniweka mjini acha 2 nifanyeje nipate simu yang iliyoibiwa?
Nimeibiwa simu wakati ambao nimefulia maana cm yng ndo ilikua km jembe kwangu ndo ilikua inanilisha na kuniweka mjini acha 2 nifanyeje nipate simu yang iliyoibiwa?