Nimekuelewa mkuu, PamojaSina maana hiyo mkuu namaanisha hivi kutumia simu kulingana na uwezo wako ndiyo sababu inayokufanya ukubaliane na matatizo kama haya kwa sababu tecno ni cheap inamaana hata device security yake haipo strong so inabidi akubaliane na kilichotokea tu
Kuipata inakua ngumu mkuu me mwenyewe nilipoteza s7 nenda sehemu zote police sijui imei ila hamna kilichosaidia
Hata ukienda TCRA ni bure tu, urasimu mwingi sana,bora ucheze na watumdu wakusaidieNenda TCRA tu mkuu na pia pitia polisi wana kitengo cha cyber ingawa sizan kama kina msaada sna
hahahaaHuo mda unaoutumia kufikiria tecno k9 ilopotea. Ungeutumia kwenye kazi sahivi ungeshakuwa na iPhone 6 plus tayari
Anamtia moyo tu mwenzie, kama sio Iphone hiyo simu hawezi ipata.Aaah ok itakua vizuri kama akifanya kwa njia hiyo anaweza ipata
Lete milion 50 nikufundishe hata km TCRA wakinikamata na kunifunga miaka 20 nikitoka iweze kunisaidia. Ni makosa kubadili imei duniani kote ila kurepair imei siyo kosa sbb imei huwa zinacorrupt kwahiyo unarudishia iliyopo. Ukitoa battery utaiona imei yako halisi.Naomba anayejua kubadilisha iMEI anisaidie na nijue
",,aahahah nadhan itakua vizuri kama mleta mada ataleta mrejesho wa mawazo aliyopata humu[/Q
Cha kwanza nliamua kwenda police,baada ya kutoa ripoti na kila kitu,nikapangiwa mpelelezi baada ya kupangiwa mpelelezi sasa kila nikienda naambiwa ametoka mara njoo kesho asubuhi mara njoo kesho jioni na mimi nimuajiriwa kwa wachina,sasa mchina ashachoka na excuse zangu,sasa nikaamua kutafuta mtu wa TCRA akaniambia niende pale TCRA kuna kitengo kinashughulikia mambo hayo.na nliiwaambia ukweli police wananipotezea muda na kusababisha kibarua changu kuwa mashakani.",,aahahah nadhan itakua vizuri kama mleta mada ataleta mrejesho wa mawazo aliyopata humu
Nikishaenda pale TCRA Nitawaletea mrejesho.
Ni process ndefu sana, unaweza ghairi maana au labda utoe chochote na unaweza usiipateNenda TCRA tu mkuu na pia pitia polisi wana kitengo cha cyber ingawa sizan kama kina msaada sna