Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,765
- 6,404
WhatsApp Yako imeunguzwa? Ndo mana hawajairudisha ingekua BANNED ingesharudishwa.Yah! Iko burned
WhatsApp Yako imeunguzwa? Ndo mana hawajairudisha ingekua BANNED ingesharudishwa.Yah! Iko burned
chunguza vizuri wanasema kuwa simubza oppo zimekuwa banned huko dubai kwaiyo zifika tz zinasumbua whatsapp sanaNiligundua shida ni simu ninayotumia ni oppo ina android ndogo kama
Alivyoelezea mdau mmoja maana Kila nikibadilisha namba nayo inakwenda na maji mbaya zaidi wakii -burn huwezi Tena kuiweka kwenye simu nyingine iwe Samsung, Infinix ,Tecno etc. mpaka nimechoka
karibu Yuda Eskareote
Seriously?Jaman naombe niwambie wale anaoleta simu za oppo hapa tz
chunguza vizuri wanasema kuwa simubza oppo zimekuwa banned huko dubai kwaiyo zifika tz zinasumbua whatsapp sana