Nlijua watumia gb nje ya hapo sina msaada boss ngoja wataalam wajeNatumia wasap messenger
Badilisha line tumia mtandao mwingine kisha wajulishe watu wakoNmefanya ivo lakn inafungiwa tena
Wewe utakuwa unatumia simu ya oppo
Exactly!Acha kusend spam mzee! Watu wamekureport!
Akibadilisha line wanadetect simu ilotumika watafunga tena.Badilisha line tumia mtandao mwingine kisha wajulishe watu wako
Wamekufungia sababu ya Spam acha kutuma vitu vya hovyo