nisaidieni toka jana siwezi weka vocha ktk line yangu ya tigo kisa niliweka vocha feki,je niitupe hii line? Au ninunue nyingine.nikiwapigia customer care hawapokei namba yao ni 0713800800
Usiitupe hiyo line bwana hilo ni tatizo dogo sana kwan huwa wanafanya hivyo baada ya kurudia rudia kuingiza vocha ambayo ime 2mika mara nyingi.Na huwa wanaifungia kwa mda km wa cku 3 hiv lkn baadae watakulejeshea tena.
Chamsingi km upo karibu na kituo chao cha kutoa huduma km dar mliman city nenda watakulekebishia.
Au piga 2 hiyo hiyo namba yao watapokea 2 kwan huwa wanachukua xana mda kupokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.