Ushoga ni sexual orientation! Kutokuwa shoga maana yake uko oriented kwenye heterosexual. Na kwa kuwa bado ni kundi dogo katika jamii, sexual orientation yetu haija-favour ushoga basi hilo ni kundi ambalo linachukuliwa kama misrepresented, discriminated! Tabia zao zinachukuliwa Kama dhambi, au kwenda kinyume na asili.
Sasa haki za Binadam ikiwemo kusikilzwa, Uhuru wa kutoa maoni, na kuwakilishwa hauna mipaka. Uwe shoga, uwe Chadema, CCM, uwe mlemavu, mwanamke, mvulana, mweusi, mweupe, mjaluo, Mngoni, Africa au Asia, ulaya haki zote za Binadam zinakuhusu internationally. Hivyo, kwa mtazamo wa kidunia lazima uwasikilize na kuwafikiria, kwa sababu nao ni sehemu ya Jamii unayoihudumia.
Tahadhari.
Kuna baadhi ya nchi, Kabila na dini Jambo hilo linapingwa vikali. Ukisema tu nitawasikiliza utaonekana moja kwa moja unaenda kinyume na S.A.W au Jesus mwana wa Nazareth.
Hitimisho
Nje ya hiyo tahadhari watu wote ni sawa, hivyo wanahitaji fair and equal treatment.
Nawasilisha.
Lugumya.
Sent using
Jamii Forums mobile app