Msaada: Nilipotelewa na Bag langu ndani ya basi la Abood

Emmanuel Mkwama

Senior Member
Apr 24, 2013
165
122
Habari zenu ndugu zangu wanajf! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yenyewe.

Ukweli ni kwamba, Mnamo tarehe 13/10/2014 nilipotelewa na Bag langu ndani ya basi la Abood. Nilikua natokea moro kuingia Dar, nilikuja kujua na kutambua ya kwamba sikua na bag ni baada ya kufika ubungo.

Ndani ya bag kulikua na laptop, vitambulisho vyangu (nhif, psptb, driving license, kitambulisho cha mdogo wangu mali ya university of Dar es salaam) pia lilikua na picha zangu mbili, fungua za Gheto langu, statement result yangu, flash nne (3 ni 4GB na 1 ni 1GB) nk.

Kama kuna Mwanajamiiforums atakuwa ameviona popote tafadhali naomba nifahamishe ama vipileke kwenye kituo chochote cha polisi ama kwenye ofisi yeyote inayohusiana na document zangu.

Ninaitwa EMMANUEL MKWAMA

Kwa mawasiliano napatikanika katika namba zifuatazo 0717568496 / 0786758268

email natumia, emkwama@ymail.com

emkwama@gmail.com
 
Aisee mwombe sana Mungu...

Na ukivipata usisahau kumshukuru sana Mungu.

Kila la kheri kwenye maombi.
 
mkuu pole sana ume jaribu kuwasiliana na uongozi wa abood bus na kama uliwa taarifu walikujibu nini.
 
Pole sana. Ukiwa unasafiri na mabasi yoyote jaribu kuwa makini na mizigo yako hususani begi za laptop n.k wakati was kwenda kula beba na hata wakati was kuchimba dawa pia.
 
mkuu pole sana ume jaribu kuwasiliana na uongozi wa abood bus na kama uliwa taarifu walikujibu nini.

niliwataafu palepale niliposhtuka nakugundua sikua na beg,ndipo nilipomfuata dereva nikamwambia. ila jibu alilo niambia nikwamba wao awahusiku na mzigo uliondani.
 
Muwe na tahadhari bus la abood linaongoza kwa kuibiwa watu mizigo mimi nilimshika mwizi anataka kuchukua bag langu alikuwa anashukia kwenye mzani mikese....na ndani kulikuwa na laptop pamoja na document za ofisi. Nadhani hatanisahau yule jamaa nilichomfanya km ni mzima uko alipo ila kiukweli madereva mpaka wapiga debe wanawajua wezi wengine wanashukiaga msanvu pale pale kwa usaidizi wao.
 
Mi ni mtumiaji wa usafiri huo kutoka Moro kuja Dar na Dar kwenda Moro, Aboud bus is the best choice ndani hakuna konda wala biashara za karanga zaidi tu ya wale wakaguzi pale chalinze ambao daima hukagua abiria wasio na tiketi na waliokaa chini au kusimama, sasa issue iko hivi.

Mara nyingi abiria akitua ndani basi vibegi huwekwa kwenye carrier hata akina mama nimeona wana mazoea hayo, alafu unakuta abiria anachomoa smartphone yake anaaingia viber, whatsapp, fb, etc anachati safari nzima hana mpango yeye ni raha tu na earphone masikioni,.

Na wakati mwingine umekaa na abiria huyo huyo hakyuna cha salamu wala nini, kwahyo mwizi wako wa kwanza ni abiria uliekaa nae ulikuwa na uhusiano gani ukiwa safarini, na pia wengi hupachika begi mahali ambapo sio sehermu aliyokaaa hivo lolite lile laweza kutokea wakati wa kushuka.

Abiria uwepo makini kila unapotumia usafiri huu wa umma kwani hakuna atakayekuwa na msaada wa karibu kutoa majibu ya tatizo lako la upotevu wa mali zako.

Safari za kupoteza begi ndani ya basi ni kesi ambayo wewe mteja ndio unahusika.

Jichunguze ulivyosafiri na ulipachika wapi na ulianzia safari msamvu kwa tiketi au ulidandia tu njiani.

Pole sana aissseeeeee
 
aise pole sana ...e.mkwama natumai utakuja kulipata sema inataka ubinadamu na hekima na ustarabu wa hali ya juu kwa aliyeichukua akurudishie
 
Habari zenu ndugu zangu wanajf! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yenyewe.

Ukweli ni kwamba, Mnamo tarehe 13/10/2014 nilipotelewa na Bag langu ndani ya basi la Abood. Nilikua natokea moro kuingia Dar, nilikuja kujua na kutambua ya kwamba sikua na bag ni baada ya kufika ubungo.

Ndani ya bag kulikua na laptop, vitambulisho vyangu (nhif, psptb, driving license, kitambulisho cha mdogo wangu mali ya university of Dar es salaam) pia lilikua na picha zangu mbili, fungua za Gheto langu, statement result yangu, flash nne (3 ni 4GB na 1 ni 1GB) nk.

Kama kuna Mwanajamiiforums atakuwa ameviona popote tafadhali naomba nifahamishe ama vipileke kwenye kituo chochote cha polisi ama kwenye ofisi yeyote inayohusiana na document zangu.

Ninaitwa EMMANUEL MKWAMA

Kwa mawasiliano napatikanika katika namba zifuatazo 0717568496 / 0786758268

email natumia, emkwama@ymail.com

emkwama@gmail.com

Mhuuu! Angalia mjomba Mkude huko Dar! Sio mwendo wa kutanguliza maboga sokoni, Jamah!
Mhogo wa sokoni unanukia kisokosoko!
 
Habari zenu ndugu zangu wanajf! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yenyewe.

Ukweli ni kwamba, Mnamo tarehe 13/10/2014 nilipotelewa na Bag langu ndani ya basi la Abood. Nilikua natokea moro kuingia Dar, nilikuja kujua na kutambua ya kwamba sikua na bag ni baada ya kufika ubungo.

Ndani ya bag kulikua na laptop, vitambulisho vyangu (nhif, psptb, driving license, kitambulisho cha mdogo wangu mali ya university of Dar es salaam) pia lilikua na picha zangu mbili, fungua za Gheto langu, statement result yangu, flash nne (3 ni 4GB na 1 ni 1GB) nk.

Kama kuna Mwanajamiiforums atakuwa ameviona popote tafadhali naomba nifahamishe ama vipileke kwenye kituo chochote cha polisi ama kwenye ofisi yeyote inayohusiana na document zangu.

Ninaitwa EMMANUEL MKWAMA

Kwa mawasiliano napatikanika katika namba zifuatazo 0717568496 / 0786758268

email natumia, emkwama@ymail.com

emkwama@gmail.com


Pole sana mkuu. Wizi wa aina hii ni kawaida sana katika vyombo vyetu vya usafiri hususan kwenye mabasi ya Abood. Jamaa yangu aliibiwa bag la laptop kwenye Abood kabla hata basi halijaondoka Ubungo Terminal. Kuna wataalam wanaingia kama abiria lakini mchezo wao kuscan mabegi ya laptop na ukizubaa kidogo tu wanateremka nalo njiani.
 
Ndugu, wewe ni mgeni na Jerusalemu? Nahisi umekuwa huingii humu maana mara kadhaa habari na tahadhari kuhusiana na wizi wa aina hiyo umekuwa unatolewa hapa jamvini ili wasafiri muwe makini na mizigo yenu
 
Habari zenu ndugu zangu wanajf! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yenyewe.

Ukweli ni kwamba, Mnamo tarehe 13/10/2014 nilipotelewa na Bag langu ndani ya basi la Abood. Nilikua natokea moro kuingia Dar, nilikuja kujua na kutambua ya kwamba sikua na bag ni baada ya kufika ubungo.

Ndani ya bag kulikua na laptop, vitambulisho vyangu (nhif, psptb, driving license, kitambulisho cha mdogo wangu mali ya university of Dar es salaam) pia lilikua na picha zangu mbili, fungua za Gheto langu, statement result yangu, flash nne (3 ni 4GB na 1 ni 1GB) nk.

Kama kuna Mwanajamiiforums atakuwa ameviona popote tafadhali naomba nifahamishe ama vipileke kwenye kituo chochote cha polisi ama kwenye ofisi yeyote inayohusiana na document zangu.

Ninaitwa EMMANUEL MKWAMA

Kwa mawasiliano napatikanika katika namba zifuatazo 0717568496 / 0786758268

email natumia, emkwama@ymail.com

emkwama@gmail.com

nazile condom.mbona ujasema.

sema vyote.uletewe
 
Pole sana.......ila ulikaaje mbali na begi lenye vitu muhimu kiasi hicho mpaka liibiwe........?........sielewi.......ila nadhani umejifunza.........
 
Pole kaka,hilo usahau,usifikiri ni mtu kaliachukua bahati mbaya,kuna wezi pia huwa tunapanda nao kwenye haya mabasi na hawa jamaa wanakusoma toka nje mpk unaingia ndani ya basi!kuna jamaa'ngu pia aliibiwa laptop hvyo hvyo alikuwa anatoka dar-mor!Imebaki historia tu!
 
Habari zenu ndugu zangu wanajf! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yenyewe.

Ukweli ni kwamba, Mnamo tarehe 13/10/2014 nilipotelewa na Bag langu ndani ya basi la Abood. Nilikua natokea moro kuingia Dar, nilikuja kujua na kutambua ya kwamba sikua na bag ni baada ya kufika ubungo.

Ndani ya bag kulikua na laptop, vitambulisho vyangu (nhif, psptb, driving license, kitambulisho cha mdogo wangu mali ya university of Dar es salaam) pia lilikua na picha zangu mbili, fungua za Gheto langu, statement result yangu, flash nne (3 ni 4GB na 1 ni 1GB) nk.

Kama kuna Mwanajamiiforums atakuwa ameviona popote tafadhali naomba nifahamishe ama vipileke kwenye kituo chochote cha polisi ama kwenye ofisi yeyote inayohusiana na document zangu.

Ninaitwa EMMANUEL MKWAMA

Kwa mawasiliano napatikanika katika namba zifuatazo 0717568496 / 0786758268

email natumia, emkwama@ymail.com

emkwama@gmail.com

Abiria chunga mzigo wako,ubinadamu ni kazi ngumu.
 
Mi ni mtumiaji wa usafiri huo kutoka Moro kuja Dar na Dar kwenda Moro, Aboud bus is the best choice ndani hakuna konda wala biashara za karanga zaidi tu ya wale wakaguzi pale chalinze ambao daima hukagua abiria wasio na tiketi na waliokaa chini au kusimama, sasa issue iko hivi.

Mara nyingi abiria akitua ndani basi vibegi huwekwa kwenye carrier hata akina mama nimeona wana mazoea hayo, alafu unakuta abiria anachomoa smartphone yake anaaingia viber, whatsapp, fb, etc anachati safari nzima hana mpango yeye ni raha tu na earphone masikioni,.

Na wakati mwingine umekaa na abiria huyo huyo hakyuna cha salamu wala nini, kwahyo mwizi wako wa kwanza ni abiria uliekaa nae ulikuwa na uhusiano gani ukiwa safarini, na pia wengi hupachika begi mahali ambapo sio sehermu aliyokaaa hivo lolite lile laweza kutokea wakati wa kushuka.

Abiria uwepo makini kila unapotumia usafiri huu wa umma kwani hakuna atakayekuwa na msaada wa karibu kutoa majibu ya tatizo lako la upotevu wa mali zako.

Safari za kupoteza begi ndani ya basi ni kesi ambayo wewe mteja ndio unahusika.

Jichunguze ulivyosafiri na ulipachika wapi na ulianzia safari msamvu kwa tiketi au ulidandia tu njiani.

Pole sana aissseeeeee

Mi niliibiwa begi langu hata sikuwa na smart phone kipindi hicho 2009, kuwa makini maana nina hasira bado...
 
Back
Top Bottom