Msaada: Nijuze kuhusu hii HP Printer

PistolGang

JF-Expert Member
Jan 16, 2013
392
44
Habari wadau?

Naombwa kujuzwa bei ya hii printer aina ya HP ikiwa mpya?

Bei ya wino huwa tsh ngapi ukiisha/ kuujaza?
 

Attachments

  • PhotoChooser-13735e6b-2142-43f8-b166-4431eb80f680.jpg
    PhotoChooser-13735e6b-2142-43f8-b166-4431eb80f680.jpg
    543 KB · Views: 86
  • PhotoChooser-f2d98c64-0b7f-4664-8d35-f9120ff1914c.jpg
    PhotoChooser-f2d98c64-0b7f-4664-8d35-f9120ff1914c.jpg
    363.2 KB · Views: 82
Nimeambiwa inaprint makaratasi na picha pia, scanning na photocopying. Ni kweli jamani?
 
Nimeambiwa inaprint makaratasi na picha pia, scanning na photocopying. Ni kweli jamani?

Mkuu unauliza wakati printer imeandikwa kazi zake.
Kwanza ni photosmart yaani inaweza kuprint picha.

Inaweza kuprint karatasi za kawaida.
Inaweza kufanya scanning.
Inaweza kufanya photocopying (copying).
Unaweza kuprint hata bila kutumia cable ya ku connect kwenye computer yaani unatumia wireless.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom