Msaada nifanyeje sm yangu inashindwa ku install Apps

Msaada nifanyeje sm yangu inashindwa ku install Apps

Zuwenna

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2015
Posts
2,203
Reaction score
4,111
Wanajukwaa niwiki moja toka sm yangu ianze kushindwa kuifadhi Apps, ninapo kwenda kwenye play store nina sarch vizuri taab ni kuhifadhi inatafuta kwa mudamrefu mpaka nachoka, Lingine nikuwa App ya JF haifunguki kabisa ikapelekea ku unstalling kisha nianze upya imekuwa ngum kuirudisha. MSAADA
 
playstore isipodownload mara nyingi inakuwa ni setting mbaya za internet au kuna conflict hivyo utahitajika kuclear data na cache.

1. nenda setting halafu kwenye wireless and network nenda more then nenda mobile network then acess point halafu angalia kama una setting za wap au web kama zipo bonyeza vimistari vitatu vya juu then chagua new apn

connection name andika zuwena
apn andika internet

save/back halafu activate zuwena iwe ndio default setting kwa kuiekea kidoti kwa mbele then rudi playstore jaribu kudownload tena.

ikikataa nenda namba mbili

2.nenda setting then application au application manager nenda all apps then tafuta playstore kisha clear cache na data halafu rudi playstore angalia kama itafanya kazi
 
Chief-Mkwawa Nimefanya hivyo ajabu hapa ni dk ya 7 bado ina sarch
 
Last edited by a moderator:
Aahahahaha Chief-Mkwawa saaaafi kaka mungu akuzidishie kutoa elim bila kinyongo oyeee!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Chief-Mkwawa hivi battery genuine ya samsung Note 2 ntapata kwa how much...?
 
Last edited by a moderator:
chief mkwawa, nami nina tatizo linalofanana na hilo..simu yangu aina ya samsung galaxy tablet inashindwa kudownload app kutoka playstore..tatizo lilianza baada ya mdogo wangu kuingiza pattern rock mara nyingi hivyo simu kujifunga na kudai gmail account, kwa bahat mbaya nilikuw nimeisahau gmail, so nikaireboot simu, badi toka hapo ikawa haikubali kudowlnload kitu toka playstore...nimetumia njia zote ulizoelekeza hapo juu lakini wapi...msaada tafadhari. Chief-Mkwawa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom