eretzisrael
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 331
- 474
Habari zenu,
Mimi ni kijana wa miaka 22 nina tatizo moja, am so poor in socialization, nikienda mahali nakua mkimya sana hadi niwazoee sana ndo nitaanza kuchangamka, tatizo hili limefanya baadhi ya watu wadhani labda nina dharau au kiburi, nifanyeje kutatua tatizo hili.
Natanguliza shukrani
Mimi ni kijana wa miaka 22 nina tatizo moja, am so poor in socialization, nikienda mahali nakua mkimya sana hadi niwazoee sana ndo nitaanza kuchangamka, tatizo hili limefanya baadhi ya watu wadhani labda nina dharau au kiburi, nifanyeje kutatua tatizo hili.
Natanguliza shukrani
watu wakaanza majungu, kama natangaza biashara ya Colgate. Nikasema niwe na sura ngumu
eehh watu wakapiga majungu oohh utazeeka siku si zako. Hapa nilipo naishi ninavyoona mimi mwenyewe poa tu.