Msaada: Ni zaidi ya mwaka sasa sijapata nafuu

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Wakuu nimekuwa nikijisikia hovyo mara kwa mara<mate machungu kujaa mdomon, kuumwa kichwa na uchovu>. Kuna kipindi niliugua malaria na ilijirudia rudia sana, nimejaribu kupima magonjwa mengine yote na sina. Nahisi huenda madawa niliyokuwa nayatumia yametengeneza sumu mwilini. Je kuna dawa ya kutoa sumu mwilini? Je suluhisho la haya ni nini? Naomben msaada kwani naelekea kuanza kibarua, kwa hali hii naweza kushindwa kufanya kazi inavyotakikana.
 
Wakuu nimekuwa nikijisikia hovyo mara kwa mara<mate machungu kujaa mdomon, kuumwa kichwa na uchovu>. Kuna kipindi niliugua malaria na ilijirudia rudia sana, nimejaribu kupima magonjwa mengine yote na sina. Nahisi huenda madawa niliyokuwa nayatumia yametengeneza sumu mwilini. Je kuna dawa ya kutoa sumu mwilini? Je suluhisho la haya ni nini? Naomben msaada kwani naelekea kuanza kibarua, kwa hali hii naweza kushindwa kufanya kazi inavyotakikana.

&#8216;Mwili wa binadamu unapopungukiwa maji hutoa ishara (indicators), tumeziita ishara hizo kuwa ni magonjwa, hauumwi, una kiu, usiitibu kiu kwa madawa &#8211; dr. Batmanghelidj'.

Kosa kubwa ambalo binadamu tumelifanya dhidi ya miili yetu mpaka sasa, ni kusubiri mdomo ukauke au kiu ndipo tunywe maji. Ni kama vile kusubiri katikati ya mchana jua likiwa limewaka, ndipo unamwagilia maji bustani au kutembea umbali mrefu na gari na kusubiri mpaka maji yaishe kabisa ndipo uongeze maji kwenye injini papo hapo!.

Madhara makubwa ya kiafya yatokanayo na upungufu wa maji (dehydration) ambayo siyo lazima yaoneshe kukauka kwa mdomo au kiu, yanajitokeza kabla ya mdomo au kiu kutokea.

Kimsingi kiu na mdomo kukauka, ni ishara za mwisho kabisa za mwili kupungukiwa maji, na ikiwa mtu anategemea ishara hizi ili kunywa maji, basi mtu huyo atakuwa anajikaribishia mauti yasiyo ya lazima, kwani anaulazimisha mwili kusambaziwa maji kwa mgawo kutokana na amri zinazotolewa na ubongo ili kusambazia maji mifumo mhimu zaidi ukiwemo ubongo wenyewe.


kwa siku huwa unakunywa maji kiasi gani?, je ni chunvi ipi unatumia, ile ya mawe ya baharini ambayo haijasafishwa (unrefined sea salt) au ile ya dukani ya unga?, maji ni suluhisho kwa kila ugonjwa, jisomee mwenyewe katika: http://maajabuyamaji2.artisteer.net/jitibu-kwa-kutumia-maji/
 
‘Mwili wa binadamu unapopungukiwa maji hutoa ishara (indicators), tumeziita ishara hizo kuwa ni magonjwa, hauumwi, una kiu, usiitibu kiu kwa madawa – dr. Batmanghelidj’.

Kosa kubwa ambalo binadamu tumelifanya dhidi ya miili yetu mpaka sasa, ni kusubiri mdomo ukauke au kiu ndipo tunywe maji. Ni kama vile kusubiri katikati ya mchana jua likiwa limewaka, ndipo unamwagilia maji bustani au kutembea umbali mrefu na gari na kusubiri mpaka maji yaishe kabisa ndipo uongeze maji kwenye injini papo hapo!.

Madhara makubwa ya kiafya yatokanayo na upungufu wa maji (dehydration) ambayo siyo lazima yaoneshe kukauka kwa mdomo au kiu, yanajitokeza kabla ya mdomo au kiu kutokea.

Kimsingi kiu na mdomo kukauka, ni ishara za mwisho kabisa za mwili kupungukiwa maji, na ikiwa mtu anategemea ishara hizi ili kunywa maji, basi mtu huyo atakuwa anajikaribishia mauti yasiyo ya lazima, kwani anaulazimisha mwili kusambaziwa maji kwa mgawo kutokana na amri zinazotolewa na ubongo ili kusambazia maji mifumo mhimu zaidi ukiwemo ubongo wenyewe.


kwa siku huwa unakunywa maji kiasi gani?, je ni chunvi ipi unatumia, ile ya mawe ya baharini ambayo haijasafishwa (unrefined sea salt) au ile ya dukani ya unga?, maji ni suluhisho kwa kila ugonjwa, jisomee mwenyewe katika: http://maajabuyamaji2.artisteer.net/jitibu-kwa-kutumia-maji/

nashukuru mkuu, nitasoma kwani maji nakunywa lakini inawezekana si kwa mpangilio unaotakikana
 
Wakuu nimekuwa nikijisikia hovyo mara kwa mara<mate machungu kujaa mdomon, kuumwa kichwa na uchovu>. Kuna kipindi niliugua malaria na ilijirudia rudia sana, nimejaribu kupima magonjwa mengine yote na sina. Nahisi huenda madawa niliyokuwa nayatumia yametengeneza sumu mwilini. Je kuna dawa ya kutoa sumu mwilini? Je suluhisho la haya ni nini? Naomben msaada kwani naelekea kuanza kibarua, kwa hali hii naweza kushindwa kufanya kazi inavyotakikana.
Nimesoma member mmoja amekushauri unywe maji kwa wingi! Na mimi nasisitiza tu fuata ushauri wake. Kunywa maji kama una ugomvi nayo. Kadiri utakavyopata haja ndogo mara nyingi, utakuwa unaondoa uchafu mwilini. Ukiamka asubuhi anza kunywa maji mengi hata kabla ya kifungua kinywa. Halafu labda niongezee: Umepima blood pressure na sukari? Kama hujapima basi kapime. Unaweza kupima sehemu tofauti tofauti kwa siku tofauti kwani hospital zetu nazo haziaminiki. Na mwisho: una uhakika huna wadudu wa malaria kidogo (scanty) kwenye damu? Unajua wadudu wa malaria siku hizi wamebadilika. Ukiwatibu hawaishi wote ila wanabaki kidogo. Na hawa kidogo ubaya wake ni kuwa hawaonekani kwenye vipimo eg. MRDT. Mpaka umkute mtu mwenye uzoefu anayetumia darubuni. Hivyo nakushauri fanya ukichaa wa kupima malaria sehemu mbali mbali. Hata hivi vizahanati vidogo wewe pima tu. Na kumalizia nakushauri nenda pale Ubungo Plaza kuna ulizia duka la tiba za asili. Nunua dawa inayoitwa MUSHANA. Inauzwa bei ndogo tu... jaribu kutumia.
 
Wakuu nimekuwa nikijisikia hovyo mara kwa mara<mate machungu kujaa mdomon, kuumwa kichwa na uchovu>. Kuna kipindi niliugua malaria na ilijirudia rudia sana, nimejaribu kupima magonjwa mengine yote na sina. Nahisi huenda madawa niliyokuwa nayatumia yametengeneza sumu mwilini. Je kuna dawa ya kutoa sumu mwilini? Je suluhisho la haya ni nini? Naomben msaada kwani naelekea kuanza kibarua, kwa hali hii naweza kushindwa kufanya kazi inavyotakikana.
KAPIME SUKARI
 
Back
Top Bottom