tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Wakuu nimekuwa nikijisikia hovyo mara kwa mara<mate machungu kujaa mdomon, kuumwa kichwa na uchovu>. Kuna kipindi niliugua malaria na ilijirudia rudia sana, nimejaribu kupima magonjwa mengine yote na sina. Nahisi huenda madawa niliyokuwa nayatumia yametengeneza sumu mwilini. Je kuna dawa ya kutoa sumu mwilini? Je suluhisho la haya ni nini? Naomben msaada kwani naelekea kuanza kibarua, kwa hali hii naweza kushindwa kufanya kazi inavyotakikana.