Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Wakuu tafadhali mwenye uzoefu na masuala ya ufugaji nguruwe wanakaribia miezi 5 lakini bado kasi sio nzuri ya ukuaji kwa waliowaona utahisi wa miezi 3 na nusu tatizo nini. NB naishi maeneo yenywe baridi chini ya centigrade 20 kwa wastani.
Lakini Kuna mitaa mingine nguruwe wanakimbia lakini ni zone Moja hii hii.
Asante
Lakini Kuna mitaa mingine nguruwe wanakimbia lakini ni zone Moja hii hii.
Asante