Msaada ndugu zangu

Msaada ndugu zangu

eddiecudo

Member
Joined
May 8, 2013
Posts
13
Reaction score
8
Nimetokwa vipele hivi sijui shida nini maana kama tetekuwanga nilishawahu kuugua nikiwa mdogo na kama wasemavyo tetekuwanga hairudi mara mbili. Haviumi ila vikitumbuka vinawasha.


Screenshot_20201017-215044_Gallery~2.jpeg
 
Polesana mkuu....
Lamsingi, anza kula vizuri, pumzisha mwili wako, fanya mazowezi na ukule mashudu kwa wakati.....
Naomba niishie hapa mkuu, maana inasikitisha sana....
😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom