Bittah
Senior Member
- Jul 14, 2018
- 135
- 37
Nahitaji kufahamu vitu vya muhimu kwa mtu ambaye anaingia mwaka wa kwanza kuchukua degree ya IT vitu vya msingi ambavyo anatakiwa kuwa navyo anapoanza chuo ili nianze kujipanga mdogo mdogo ndugu zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app