Annie john
Member
- Oct 2, 2021
- 38
- 31
Hello wanaJF
Sorry nina mdogo wangu alifaulu chuo cha Mwalimu Nyerere kilichopo Kigamboni Dar es Salaam. Mdogo wangu huyo alikuja Bukoba likizo baada ya kumaliza field ndani ya mwezi September..
Akajiandaa na kurudi chuo. Kwa kuwa vyuo havijafunguliwa akafikia kwa ndugu anasubiri kureport baada ya week moja. Yeye Amemaliza mwaka wa kwanza anatakiwa kuendelea na mwaka wa pili..!! Anadai usajili hauwezi kamilika mpaka awe na cheti original. Nilienda shule aliyomalizia ipo huku Bukoba nikaambiwa cheti original hawawezi kukitoa mpaka mhusika
Wakadai kwa kunisaidia may be tuscan tumtumie. Mdogo wangu mimewasiliana naye anasema cheti wanachotaka wao ni original sio scanned. Sasa inatuwia ugumu kumlipia nauli aje kuchukua cheti na arudi tena Dar.
Kwa haraka nauli ya sasa ni 80k bado kula njiani na pesa ya makato plus nauli ya kurudia 80k na pesa ya chakula na makato kwa haraka atleast tupate 220000.
Ambayo kwa sasa ni ngumu coz anatakiwa ada na mahitaji mengine. Kwa wenyeji wa Mwalimu Nyerere memorial naombeni msaada kwa case kama hii tunaweza isolve vipi.
Sorry nina mdogo wangu alifaulu chuo cha Mwalimu Nyerere kilichopo Kigamboni Dar es Salaam. Mdogo wangu huyo alikuja Bukoba likizo baada ya kumaliza field ndani ya mwezi September..
Akajiandaa na kurudi chuo. Kwa kuwa vyuo havijafunguliwa akafikia kwa ndugu anasubiri kureport baada ya week moja. Yeye Amemaliza mwaka wa kwanza anatakiwa kuendelea na mwaka wa pili..!! Anadai usajili hauwezi kamilika mpaka awe na cheti original. Nilienda shule aliyomalizia ipo huku Bukoba nikaambiwa cheti original hawawezi kukitoa mpaka mhusika
Wakadai kwa kunisaidia may be tuscan tumtumie. Mdogo wangu mimewasiliana naye anasema cheti wanachotaka wao ni original sio scanned. Sasa inatuwia ugumu kumlipia nauli aje kuchukua cheti na arudi tena Dar.
Kwa haraka nauli ya sasa ni 80k bado kula njiani na pesa ya makato plus nauli ya kurudia 80k na pesa ya chakula na makato kwa haraka atleast tupate 220000.
Ambayo kwa sasa ni ngumu coz anatakiwa ada na mahitaji mengine. Kwa wenyeji wa Mwalimu Nyerere memorial naombeni msaada kwa case kama hii tunaweza isolve vipi.