Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,919 Sep 16, 2013 #81 Kuna tatizo gani kwani hapo? Wakati wengine wakiwa na wapenzi wao simu wanazima.
mtz one JF-Expert Member Joined Dec 25, 2012 Posts 4,275 Reaction score 1,222 Sep 16, 2013 Thread starter #82 Negrodemus said: si mzima wewe... peleka jokes corner hii taka taka yako. Click to expand... umeitwa??
Negrodemus said: si mzima wewe... peleka jokes corner hii taka taka yako. Click to expand... umeitwa??
Gorgeousmimi JF-Expert Member Joined Jun 21, 2010 Posts 9,296 Reaction score 7,688 Sep 16, 2013 #83 Ahsante kwa kunichekesha ha ha ha...Mkiaminiwa mnalalamika,msipoaminiwa mnalalamika,Mnataka nini nyie viumbe?
Ahsante kwa kunichekesha ha ha ha...Mkiaminiwa mnalalamika,msipoaminiwa mnalalamika,Mnataka nini nyie viumbe?
A Avelina Member Joined Sep 5, 2013 Posts 70 Reaction score 12 Sep 17, 2013 #84 Huyo anakupenda lakini anaogopa kupekuwa cm yako anajua ataumia sana akikutana na sms mbaya.
K kichwakipana JF-Expert Member Joined Jun 18, 2013 Posts 206 Reaction score 45 Sep 17, 2013 #85 inawezekana hataki pressure kama akigundua kuna mambo unafanya
mtz one JF-Expert Member Joined Dec 25, 2012 Posts 4,275 Reaction score 1,222 Sep 17, 2013 Thread starter #86 hahaha kwel kla shetani na mbuyu wake
mtz one JF-Expert Member Joined Dec 25, 2012 Posts 4,275 Reaction score 1,222 Nov 9, 2013 Thread starter #87 Avelina said: Huyo anakupenda lakini anaogopa kupekuwa cm yako anajua ataumia sana akikutana na sms mbaya. Click to expand... hapana si kweli
Avelina said: Huyo anakupenda lakini anaogopa kupekuwa cm yako anajua ataumia sana akikutana na sms mbaya. Click to expand... hapana si kweli
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,830 Reaction score 12,291 Nov 9, 2013 #88 Una jinsia gani kwa sasa.?
tpaul Platinum Member Joined Feb 3, 2008 Posts 25,970 Reaction score 25,361 Nov 9, 2013 #89 Mkuu kaa chonjo, unaibiwa. Ni mwanamke gani huyo asiyekuwa na wivu? Utakuwa unagongewa nje ndugu yangu. Tafakari, chukua hatua!
Mkuu kaa chonjo, unaibiwa. Ni mwanamke gani huyo asiyekuwa na wivu? Utakuwa unagongewa nje ndugu yangu. Tafakari, chukua hatua!
R rugwebe78 JF-Expert Member Joined Aug 25, 2013 Posts 265 Reaction score 78 Nov 9, 2013 #90 teh teh teh,,,! umenifurahisha mkuu, ningekupata wewe naona tungeendana. maana......!!